Viongozi Mashuhuri watakaomzika Queen Elizabeth II

Dr.Miguna Miguna atasoma risala fupi msibani itakayoandaliwa na AU kwaajili ya kutambua mchango wa bibi Eliza kwenye uhuru wa nchi za Africa.
 
14. Tozo Queens Mkojani
 
Hangaya Ametangaza Maombolezo siku mingiiii Kwa msibabambao hata wafiwa hawamjui
 
Rwanda anamsaidia kupunguza wakimbizi
Kenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...

Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
Halafu Rwanda walirukia commonwealth yetu wakati wao ni watoto wa Macro ,soon watatuovertake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…