Viongozi Mashuhuri watakaomzika Queen Elizabeth II

21: Jay One with love from CCM, Tanzania 🇹🇿 😅😅
 
Mbona waafrika wengi mno ama wao ndio Wana uchungu naye mno
 
Viongozi 1st world-3 nos
Viongozi 3rd world-17nos

Hao 3rd world wanaenda kututia aibu tu na machozi yao ya kutawaliwa kifikra.
 
Kama nawaona alkaida wanavyoitamani fursa
 
Kenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...

Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
Sasa km nchi tunaojidai tuna rasilimali kibao tunakalia kukamuana kwenye tozo tunaptwa nao si bora wajione wazungu. Tz ni ovyo kabisa, bora hao wakajiunge EU kulko kukaa na wajinga km tz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…