Viongozi mbalimbali wanatoa ushauri mbovu kwa Rais kuhusu suala la Bandari

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
Aliyewahi kuwa Waziri asiye na Wizara Maalum na pia Waziri wa Ardhi, Maliasili na Utalii, Pia Katibu Mkuu wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Wanawake Na Rais wa kwanza wa Bunge la Umoja wa Mataifa, Balozi Dkt Getrude ibengwe Mongela Ameshauri Rais kuwasikiliza wananchi na kuacha kuwasikiliza wapambe wengine wanaume ambao wanataka kumpotosha..

Your browser is not able to display this video.
Lakini pia baadhi ya wazee wameanza kujitokeza kushauri serkali hasa nini kifanyike na kutoa ushauri jinsi ya kufanya...ili tuweze kusonga mbele..

Your browser is not able to display this video.

Nini Maoni yako wewe?
 
Tuache unafiki jambo la serikali likifanikiwa sifa zote kwa rais na wala huwezi sikia machawa wakiwapa sifa washauri,jambo likiwa la hovyo lawama kwa washauri huu ni uwendawazimu na upumbavu.

"Mtu yoyote akikupa ushauri wa kipumbavu nawe ukajua niwa kipumbavu basi anakudharau"Mwl.Nyerere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…