Tuache unafiki jambo la serikali likifanikiwa sifa zote kwa rais na wala huwezi sikia machawa wakiwapa sifa washauri,jambo likiwa la hovyo lawama kwa washauri huu ni uwendawazimu na upumbavu.
"Mtu yoyote akikupa ushauri wa kipumbavu nawe ukajua niwa kipumbavu basi anakudharau"Mwl.Nyerere