Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Hili kishindo wakulima tunakipendaa, tunalamba tu asaliHiki ni kishindo... kishindo cha hawamu ya 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili kishindo wakulima tunakipendaa, tunalamba tu asaliHiki ni kishindo... kishindo cha hawamu ya 6
Maisha ya mbele na maisha ya bongo ni vitu viwili tofauti ni sawa na maji na matope.kuna chapta kwenye kitabu cha richi dadi pua dadi uli-skip nakushauri rudi kukisoma tena
Mikopo inawenyewe hiyo.Halmashauri zinatoa mikopo hasa kwa vijana wanaotaka kulima
Hiyo 2500 inategemea na kazi uliyofanya ukapata 10000.Ukiumwa maumivu ya joint inabidi mgawane na Pharmacy,wakupatie Diclopar za 1000![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
[emoji3578]10,000 - 7500 = 2500 [emoji848]
[emoji848]Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
[emoji848]Bado viungo?
[emoji848]Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Unalima nini Mr Jones?Hili kishindo wakulima tunakipendaa, tunalamba tu asali
Huyu jamaa atakuja kukanusha, Watanganyika wakiunganishwa na kibuyu cha asali,waogope sana!We chawa wa mama Samia The Sunk Cost Fallacy 2 njoo huku unaitwa
Hapo unaomba Mungu usiumwe mwaka mzima?Hiyo 2500 inategemea na kazi uliyofanya ukapata 10000.Ukiumwa maumivu ya joint inabidi mgawane na Pharmacy,wakupatie Diclopar za 1000![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila Watanganyika tunaishi maisha ya ungaunga mwana tusonge sana!
Kuvaa nguo nyembamba na kuita fashion,kumbe njaa kali![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Jamii haipati milo mitatu iliyo kamili.Tutarajie afya mbovu,udumavu,hasira,sonona,ugomvi wa familia,kukondeana,kuvaa nguo nyembamba na kuziita ni fashions,taharuki,kuchukiana,kununanuna na upotevu wa amani mioyoni mwa wanajamii.
Vijana kama hawa ni hatari kwa Taifa.Huyu jamaa atakuja kukanusha, Watanganyika wakiunganishwa na kibuyu cha asali,waogope sana!
MihogoUnalima nini Mr Jones?
Mbona wapo wanaopata wengi tu?Mikopo inawenyewe hiyo.
Vijana wanapigwa zuga tu.
Siasa nyingi wakija kushtuka changa la macho tayari.
Nani akupe mkopo ww maskini mnuka shombo.
Ekari ngap?Mihogo
Nunua mchele wa.280OTsh.
Upunguze gharama.
Ila jamani mtaani hali ni mbaya sana,maisha magumu kama tuko Somalia.Jana kuna mteja wangu Mama mtu mzima,kaja kachakaa ananiambia alikuwa kijijini kwao Musoma,anasema Hali ya chakula ni mbaya sana,watu wanalala njaa.Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
[emoji3578]10,000 - 7500 = 2500 [emoji848]
[emoji848]Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
[emoji848]Bado viungo?
[emoji848]Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Huo Mchele wa 2800,si kama chenga za kupikia vitumbua.Wakuu Hali ni Tete alafu Wanasiasa wanawaza uchaguzi 2025 badala ya kutatua matatizo ya wananchi,nyiee!Nunua mchele wa.280OTsh.
Upunguze gharama.
Kwenye maswala ya uchumi kiujumla wa Tanzania atujielewe Pal'.😔Ila unakulaje kilo ya maharage na kilo ya mchele kwa siku?
Hekari 15Ekari ngap?
Mihogo pia ni zao la msimu?
Sio kila mtu ana maarifa ya kilimo?
Pia kilimo ni 50-50 unaweza ukatoboa....pia unaweza usitoboe?
Pia huo mkopo ni kiasi gani na una masharti gani?
Kwani Kijijini ni Marekani kwamba Kuna maisha mazuri?ukiona Hali mbaya mjini basi ujue na Kijijini ni more than worse.Hii ni nchi ya Wakulima!!Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni shamba la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Kwani ajaenda Mombasa kupumzika!Mchele kilo 3500? C yule jamaa alisema amezunguka nchi nzima hakuna bei ya punje 3500 kwa kilo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Angalizo:
Serikali ya CCM wanapoongelea VIJANA,
Wanamaanisha vijana wa UVCCM.
Kama wewe ni kijana na haupo UVCCM, wewe ni Mzee[emoji2][emoji2][emoji2]