jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Mkuu nakubaliana na hoja yako, lakini siyo “alaf”, ni halafu. Tafadhali.Ila CCM wahuni Sana 😊😊😊😀 alaf wote wamehepa wakamwacha mwamba mmoja wa kutoa taarifa kuwa kivuko ni kibovu 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nakubaliana na hoja yako, lakini siyo “alaf”, ni halafu. Tafadhali.Ila CCM wahuni Sana 😊😊😊😀 alaf wote wamehepa wakamwacha mwamba mmoja wa kutoa taarifa kuwa kivuko ni kibovu 😂
Kiongozi gani wa CDM aliyekwambia wewe na wenzako hayo maneno kuwa “mama anaupiga mwingi”?KANUSHO: CDM ndio mlituambia mama anaupiga mwingi, mbona mnataka kugeuka?...
Kazi rahisi sana, waambieni viongozi wa Bavicha watulie zao tu hapo KISORYA wale zao nyama tu, tuone kama hicho kivuko kitakaa week bila kutoa huduma....Hapo KISORYA kuna dona nyama choma la uhakika wapige misosi tu...
Ukombozi haujawahi kuwa rahisi duniani, pambaneni msitegemee mteremko kufikia mafanikio...CCM wana dola, dola tamu huwezi kupewa kirahisi ndio maana M7 anakuwa muwazi tu kule UG, yeye aliipata dola polini kwa mtutu na wewe kama unaitaka ingia polini..
Mkuu una akili sanaMkuu Erythrocyte, viongozi wa CCM na wengine waliopo katika vyombo vya dola, katika siku ya leo wanaweza kupata tafakuri kupitia maandiko matakatifu kama vile ambavyo nukuu yake ipo hapa chini;
MATENDO 5
27 Basi, wakawapeleka, wakawasimamisha mbele ya Baraza. Kuhani mkuu akawaambia, 28“Tuliwakatazeni waziwazi kufundisha kwa jina la mtu huyu; sasa mmeyaeneza mafundisho yenu pote katika Yerusalemu na mnakusudia kutuwekea lawama ya kifo cha mtu huyo.”
29 Hapo Petro, akiwa pamoja na wale mitume wengine, akajibu, “Lazima tumtii Mungu, na siyo binadamu.
30 Mungu wa babu zetu alimfufua Yesu baada ya nyinyi kumuua kwa kumtundika msalabani.
31 Huyu ndiye yule aliyekwezwa na Mungu mpaka upande wake wa kulia, akawa kiongozi na Mwokozi, ili awawezeshe watu wa Israeli watubu, wapate kusamehewa dhambi zao.
32 Sisi ni mashahidi wa tukio hilo, naye Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii, anashuhudia pia tukio hilo.”
33 Wajumbe wote wa lile Baraza waliposikia hayo, wakawaka hasira, hata wakaamua kuwaua.
34 Lakini Mfarisayo mmoja aitwaye Gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama mbele ya lile Baraza, akataka wale mitume watolewe nje kwa muda mfupi.
35 Kisha akawaambia wale wajumbe wa Baraza, “Wananchi wa Israeli, tahadhari kabla ya kutekeleza hicho mnachotaka kuwatenda watu hawa!
36 Zamani kidogo, kulitokea mtu mmoja jina lake Theuda, akajisema kuwa mtu wa maana na watu karibu 400 wakajiunga naye. Lakini aliuawa, kisha wafuasi wake wote wakatawanyika na kikundi chake kikafa.
37 Tena, baadaye, wakati ule wa kuhesabiwa watu, alitokea Yuda wa Galilaya. Huyu naye aliwavuta watu wakamfuata; lakini naye pia aliuawa, na wafuasi wake wakatawanyika.
38 Na sasa pia mimi nawaambieni, msiwachukulie watu hawa hatua yoyote; waacheni! Kwa maana, ikiwa mpango huu au shughuli yao hii imeanzishwa na binadamu, itatoweka yenyewe.
39 Lakini kama imeanzishwa na Mungu, siyo tu kwamba hamtaweza kuwashinda, bali mtajikuta mnampinga Mungu.” Basi, wakakubaliana naye.
Kati yangu na wewe nani juha?Wacha kuonyesha ujuha wako hadharani wewe!!!! Pesa ni ya walipa kodi wa Tanzania bila kujali ni wa itikadi ipi. Unawezaje kuandika huu ujinga kwamba kivuko ni cha maccm!? Mbona hawajakipaka rangi za maccm? Unadhani ni kwanini!?
Unaambiwa ukweli acha kujitoa ufahamu wewe,hivi hao mababu zetu waliishi vipi pasipo sisa na miawamu yako?Pole kwa maumivu mkuu
Kati yangu na wewe nani juha?
Unawezaje kujinadi kuwa fedha ni wananchi wakati huna maamuzi nayo?
Kachukue basi hiyo pesa ukatumie kwa matumizo yako kama vile kunu ulua chupi,kenge wewe!!
Jifariji wenzako wanaishi kwa nguvu zako kenge weweCCM ni marehemu anaetembea.
Ndiyo maana hajawasikiliza mashetani wa babicha wakakosa usafiri wa kivuko.Mungu hamsikilizi Shetani
Hivi wewe ulinunuliwa lini na ccm ?Kati yangu na wewe nani juha?
Unawezaje kujinadi kuwa fedha ni wananchi wakati huna maamuzi nayo?
Kachukue basi hiyo pesa ukatumie kwa matumizo yako kama vile kunu ulua chupi,kenge wewe!!
hujui kituNdiyo maana hajawasikiliza mashetani wa babicha wakakosa usafiri wa kivuko.
Hivi huyu askofu hana kazi ya kufanya ee?!!! Nina mashaka kanisani kwake hakuna waumini ndo maana
Hii ndiyo kazi ya kiaskofuHivi huyu askofu hana kazi ya kufanya ee?!!! Nina mashaka kanisani kwake hakuna waumini ndo maana
Wewe una hasara kwa wazazi wako ,yaani hujaona hilo alilokemea askofu ni kubwa mnoo ?Hivi huyu askofu hana kazi ya kufanya ee?!!! Nina mashaka kanisani kwake hakuna waumini ndo maana
Hivi huyu askofu hana kazi ya kufanya ee?!!! Nina mashaka kanisani kwake hakuna waumini ndo maana
[/QUOT
Nimeona wewe ndio huna kazi ya kufanya, kama unayo ni kazi shagalabagala.
Mbona Askofu Tutu wa Afrika Kusini Tanzania ilimuona shujaa!Hivi huyu askofu hana kazi ya kufanya ee?!!! Nina mashaka kanisani kwake hakuna waumini ndo maana
Hivi huyu askofu hana kazi ya kufanya ee?!!! Nina mashaka kanisani kwake hakuna waumini ndo maana
Wakati chacha wangwe anafinyangwafinyangwa alikuwa hajazaliwa huyu askofu ee?!! Maana natafuta alipokemea sioniHii ndiyo kazi ya kiaskofu
Yaani kuzuia upuuzi wa chadema walio km elfu 10 hv kwa sasa nchi nzima, ndiyo kuligawa taifa la watu milioni 52?!!Wewe una hasara kwa wazazi wako ,yaani hujaona hilo alilokemea askofu ni kubwa mnoo ?
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app