Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umenifurahisha asubuhi hii kwa kwel hahahahaIla CCM wahuni Sana 😊😊😊😀 alaf wote wamehepa wakamwacha mwamba mmoja wa kutoa taarifa kuwa kivuko ni kibovu 😂
Bwashee umekula maharagwe ya wapi?Ni kiki tu za Chadema!
Kama hujapata mtoto nyundo2017 ,nakusihi sana usipate mimba maana utatuletea taahira.Mnawezaje kutumia kivuko cha ccm bwana?acha uchochezi kisusieni na hicho!!
Nimekudharau sana !Yaani kuzuia upuuzi wa chadema walio km elfu 10 hv kwa sasa nchi nzima, ndiyo kuligawa taifa la watu milioni 52?!!
Hapana usifanye hivyo, tusidharauliane tafadhali......huwezijua tunaweza kujikuta wamoja baadae!Nimekudharau sana !
Hio Kivuko Ikizima mtakuja kumlaaumu nani?
Mamlaka zimeshasema Kivuko ni Kibovu nyie kwa Ujuzi Upi mnapinga ilo? Tuache kuleta siasa kwenye Maisha ya watu
Kwa nini wasizunguke bunda wapite kisorya wavukie huko?Viongozi wa Bavicha waliokuwa wanaelekea Ukerewe wameshindwa kupata huduma ya kivuko kwa sababu za uongo kwamba kivuko ni kibovu .
Jambo hili la kishamba ni marudio ya ukakasi uliofanyika wakati wa kampeni za urais wa mwaka 2020 , ambapo Mgombea aliyependwa kuliko wote Tundu Lissu alifanyiwa upuuzi kama huu waliofanyiwa Bavicha .
Huku ndio kuupiga mwingi kunakodaiwa na wanaccm ?
View attachment 1970305
Ni kitendo cha wanaoelekea kuzimu.Viongozi wa Bavicha waliokuwa wanaelekea Ukerewe wameshindwa kupata huduma ya kivuko kwa sababu za uongo kwamba kivuko ni kibovu .
Jambo hili la kishamba ni marudio ya ukakasi uliofanyika wakati wa kampeni za urais wa mwaka 2020 , ambapo Mgombea aliyependwa kuliko wote Tundu Lissu alifanyiwa upuuzi kama huu waliofanyiwa Bavicha .
Huku ndio kuupiga mwingi kunakodaiwa na wanaccm ?
View attachment 1970305
vyako ?Vikinunuliwa mnakejeli. Vikiwepo mnataka kuvitumia. Ingelikuwa mimi hata kuvigusa tu, mngeliipata freshi!
Kama zilivyo za johnNi kiki tu za Chadema!
Vya nani? Kama nanyi vyenu kwanini vikiwa vinanunuliwa huwa mnakejeli halfu vikiwa vinafanya kazi kwanza kuvishadidia. Yaani ningelikuwa mimi nipo hapo feri, hata gari lenu ningetumbukiza ziwani. Wajinga sana ninyi! Tena mna bahati sasa hivi nipo kwenye timu ya "kuwapanga vizuri" Machinga hapa jijini!
Waulize waliofuja pesa kwa kuweka kivuko wakati barabara ipo.Kwa nini wasizunguke bunda wapite kisorya wavukie huko?
Tundu lissu alipendwa na watu wote wapi ww..kuweni mnaongea ukweliViongozi wa Bavicha waliokuwa wanaelekea Ukerewe wameshindwa kupata huduma ya kivuko kwa sababu za uongo kwamba kivuko ni kibovu .
Jambo hili la kishamba ni marudio ya ukakasi uliofanyika wakati wa kampeni za urais wa mwaka 2020 , ambapo Mgombea aliyependwa kuliko wote Tundu Lissu alifanyiwa upuuzi kama huu waliofanyiwa Bavicha .
Huku ndio kuupiga mwingi kunakodaiwa na wanaccm ?
View attachment 1970305