Viongozi wa BAVICHA waliokuwa wanaelekea Ukerewe, washindwa kupata huduma ya kivuko

Ila CCM wahuni Sana πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜€ alaf wote wamehepa wakamwacha mwamba mmoja wa kutoa taarifa kuwa kivuko ni kibovu πŸ˜‚
Mkuu nakubaliana na hoja yako, lakini siyo β€œalaf”, ni halafu. Tafadhali.
 
Kiongozi gani wa CDM aliyekwambia wewe na wenzako hayo maneno kuwa β€œmama anaupiga mwingi”?

Halafu siyo β€œpolini”, ni porini. Wtf?
 
Mkuu una akili sana
 
Wacha kuonyesha ujuha wako hadharani wewe!!!! Pesa ni ya walipa kodi wa Tanzania bila kujali ni wa itikadi ipi. Unawezaje kuandika huu ujinga kwamba kivuko ni cha maccm!? Mbona hawajakipaka rangi za maccm? Unadhani ni kwanini!?
Kati yangu na wewe nani juha?

Unawezaje kujinadi kuwa fedha ni wananchi wakati huna maamuzi nayo?

Kachukue basi hiyo pesa ukatumie kwa matumizo yako kama vile kunu ulua chupi,kenge wewe!!
 
Hebu tuondolee upumbavu wako hapa!!! Wale Wabunge kule Bungeni wanamuwakilisha nani kwa akili yako? Kenge babaako pimbi wewe!!! Watanzania Wapumbavu kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa. Eti kivuko cha ccm PUMBAVU!!!


Kati yangu na wewe nani juha?

Unawezaje kujinadi kuwa fedha ni wananchi wakati huna maamuzi nayo?

Kachukue basi hiyo pesa ukatumie kwa matumizo yako kama vile kunu ulua chupi,kenge wewe!!
 
Kati yangu na wewe nani juha?

Unawezaje kujinadi kuwa fedha ni wananchi wakati huna maamuzi nayo?

Kachukue basi hiyo pesa ukatumie kwa matumizo yako kama vile kunu ulua chupi,kenge wewe!!
Hivi wewe ulinunuliwa lini na ccm ?
 
RAIS SAMIA: SERIKALI YAKO KUNYAMAZIA TUHUMA KAMA HIZI DHIDI YA WATENDAJI WA SERIKALI NI KULIPASUA TAIFA!

Hizi ni tuhuma nzito kutolewa na Mwenyekiti wa BAVICHA. Katika nchi za kidemokrasia, tuhuma hizi zingelipelekea kuundwa kwa Tume Huru ya Ki-Bunge ili kuchunguza madai hayo. Tuhuma hizi zinaibua mambo mazito ambayo ni ubaguzi wa kiitikadi na suala la kiuchumi! Kivuko kilichonunuliwa kwa Fedha ya Kodi zetu kitafanyaje ubaguzi huo? Wasimamizi wa Kivuko hicho watalikoseshaje Taifa mapato kwa mambo kama haya ya ubaguzi wa itikadi?

Sisi Askofu tunamshauri Waziri mwenye dhamana achunguze madai hayo, vinginevyo, akikaa kimya tutamuomba Rais Samia auambie umma kilichojiri (Ezekieli 33:1-20). Tunawasihi watu wote kusambaza ujumbe huu hadi ufike Ikulu ya Chamwino na Ikulu ya Magogoni.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

 
Hivi huyu askofu hana kazi ya kufanya ee?!!! Nina mashaka kanisani kwake hakuna waumini ndo maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…