Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Hatari sana hii. Wafungwa wa siasa wakianza kugoma kula, lazima jumuiya za kimataifa zitaingilia kati sasa hivi. Hili siyo jambo la serikali kulipuuzia. Ushauri wa kufanya ni serikali itafute watu wa nyama choma wawapeleke pale Segerea. Waanze kuchoma nyama, waliogoma kula wakisikia harufu ya nyama choma watavunja mgomo wa kula haraka sana.