Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ukatii sheria bila shuruti au?Ijumaa nilikuwepo vizuri sana wakatuzuia hata kusogelea mahakamani. Polisi mmoja najuana naye nikamuuliza kuhusu kumkamata yule aliyejiunganishia bomba la mafuta, akasema IGP anajua hizo habari zake. Ila aliniasa sana kuwa nisisogee mbele zaidi jamaa wamepewa maagizo hatarishi.
Karibu gaidi uje unitoe bikra wahi!!Nitaanza kukutoa bikra yako kabla sijaenda kupewa hao bikra kumi huko akhera.
Kwa hiyo ukatii sheria bila shuruti au?
Kama Kula si maisha kwa nyie matajiri na wewe acha Kula.Masikini wengi wanadhani kula ni maisha
Na kweli si ajabu kufa, hata March Mbona kuna Mtu alikufa?!Acha wafe tu kama ni magaidi.
Kuna comments zangu nyingi kwenye uzi mbalimbali nilikuwa namponda Samia Suluhu, kwenye ujinga nitasema tuu hata kama n kweli sina chama. Chadema mnafanya upuuzi ndo nisiseme.?Wewe ndio ulijidai huna chama? Kwa nini mnaona aibu kujitambulisha kuwa ni mashabiki wa chama tawala?
Amandla...
Mpaka Sasa tunapambana naye na Kama aishivyo Bwana, atashindwa. Stay tuned.Mlivyosema hatupo tayari kumpa muda rais kuhusu katiba maana yake ni kuwa watapambana nae. Mlikuwa mnadhani tulieni tu.
Hahahahaha, mlishangilia sana kifo cha JPM, mkome pimbi wakubwa.Watu hawa tangu walivyokamatwa siku 5 sasa hawajapelekwa Mahakamani , wala hawaruhusiwi kuonana na ndugu zao pamoja na wakili wao .
View attachment 1884601
Mi sio mwanachama wa Chadea, ccm wala ndg zao. Mi ni mwanachi tuSwali gumu hapa ni nani siyo mstaarabu?
Aliyesema nipeni muda kuhusu suala la katiba mpya, au aliyesema hatutasubiri tunaanza mapambano sasa.
Mama alianza kwa kuwapa uwanja upinzani kufanya siasa na wamefanya bila usumbufu wowote, mbowe kazunguka nchi nzima.
Kwanini wasimwamini japo hata kwa mwaka mmoja tu kuona anachukua hatua gani kuendeleza hoja ya katiba mpya?
Nionavyo mimi hii ni dharau kwa mama. Kawapa uhuru wa kukusanyika na kuwaachia mahabusu kwa lengo la kupunguza kelele za mbinyo wa demokrasia.
Badala ya kumpa ushirikiano, wanamkejeli.
Chadema hakuna kiongozi wala mwanachama mstaarabu. Kibaya zaidi wanachama wanatumika kutengeneza matukio kwa manufaa ya viongozi.
Poleni, huo ushindi mnaoutengaza kumshinda mwendazake mnajidanganya. Mtakesha bila faida.
Kama utakavyo kufa wewe.Na kweli si ajabu kufa, hata March Mbona kuna Mtu alikufa?!
Kumponda Samia hakuna maana wewe sio shabaki wa chama chake. Hamna mtu anayekukataza kuisema Chadema. Kuna kuikosoa kinadharia na kuikosoa kishabiki. Wewe ukosoaji wako ni wa kishabiki. Ni haki yako kufanya hivyo. Ninachoshangaa ni unapoukana ushabiki wako.Kuna comments zangu nyingi kwenye uzi mbalimbali nilikuwa namponda Samia Suluhu, kwenye ujinga nitasema tuu hata kama n kweli sina chama. Chadema mnafanya upuuzi ndo nisiseme.?
Wewe utawatangulia watetezi wa democrasia wanaoteswa bila kupelekwa mahakamani! Ingewezekana ungekufa tu hata leo!Kama utakavyo kufa wewe.
Washamba wamepewa madarakaCCM ni washamba sana!!
Hongera kwa kunijua kuliko mm navojijuaKumponda Samia hakuna maana wewe sio shabaki wa chama chake. Hamna mtu anayekukataza kuisema Chadema. Kuna kuikosoa kinadharia na kuikosoa kishabiki. Wewe ukosoaji wako ni wa kishabiki. Ni haki yako kufanya hivyo. Ninachoshangaa ni unapoukana ushabiki wako.
Amandla...
Watu hawa tangu walivyokamatwa siku 5 sasa hawajapelekwa Mahakamani , wala hawaruhusiwi kuonana na ndugu zao pamoja na wakili wao .
View attachment 1884601
Ccm inazalisha waasi bila kujuaWatu hawa tangu walivyokamatwa siku 5 sasa hawajapelekwa Mahakamani , wala hawaruhusiwi kuonana na ndugu zao pamoja na wakili wao .
View attachment 1884601
Wape muda wakipata njaa wataomba msosi wenyewe pumbavu zao.Hawaijui njaa hao, wakae siku mbili bila kula ndo watajua moto wake. Chadema acheni kumtishia mtu mzima nyau.
Hamtaki kula halafu viongozi wenu huko USA wana-slide kwenye snow tuu