Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa Segerea waanza kugoma kula kushinikiza washitakiwe ama waachiwe

Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa Segerea waanza kugoma kula kushinikiza washitakiwe ama waachiwe

Ndipo hapo nipo chukia ushabiki wa kisiasa.
We uko jela, viongozi wako sebuleni wanaendelea ku tweet.

Haya sasa wagomee kula tuone kitacho wakuta.
 
Ijumaa nilikuwepo vizuri sana wakatuzuia hata kusogelea mahakamani. Polisi mmoja najuana naye nikamuuliza kuhusu kumkamata yule aliyejiunganishia bomba la mafuta, akasema IGP anajua hizo habari zake. Ila aliniasa sana kuwa nisisogee mbele zaidi jamaa wamepewa maagizo hatarishi.
Kwa hiyo ukatii sheria bila shuruti au?
 
Wewe ndio ulijidai huna chama? Kwa nini mnaona aibu kujitambulisha kuwa ni mashabiki wa chama tawala?

Amandla...
Kuna comments zangu nyingi kwenye uzi mbalimbali nilikuwa namponda Samia Suluhu, kwenye ujinga nitasema tuu hata kama n kweli sina chama. Chadema mnafanya upuuzi ndo nisiseme.?
 
Mlivyosema hatupo tayari kumpa muda rais kuhusu katiba maana yake ni kuwa watapambana nae. Mlikuwa mnadhani tulieni tu.
Mpaka Sasa tunapambana naye na Kama aishivyo Bwana, atashindwa. Stay tuned.
 
Wawaache sku tatu afu wawapelekee kuku lost uone watakavyofakamia kama mbwa😂😂
 
Swali gumu hapa ni nani siyo mstaarabu?
Aliyesema nipeni muda kuhusu suala la katiba mpya, au aliyesema hatutasubiri tunaanza mapambano sasa.

Mama alianza kwa kuwapa uwanja upinzani kufanya siasa na wamefanya bila usumbufu wowote, mbowe kazunguka nchi nzima.

Kwanini wasimwamini japo hata kwa mwaka mmoja tu kuona anachukua hatua gani kuendeleza hoja ya katiba mpya?

Nionavyo mimi hii ni dharau kwa mama. Kawapa uhuru wa kukusanyika na kuwaachia mahabusu kwa lengo la kupunguza kelele za mbinyo wa demokrasia.

Badala ya kumpa ushirikiano, wanamkejeli.

Chadema hakuna kiongozi wala mwanachama mstaarabu. Kibaya zaidi wanachama wanatumika kutengeneza matukio kwa manufaa ya viongozi.

Poleni, huo ushindi mnaoutengaza kumshinda mwendazake mnajidanganya. Mtakesha bila faida.
Mi sio mwanachama wa Chadea, ccm wala ndg zao. Mi ni mwanachi tu
 
Kuna comments zangu nyingi kwenye uzi mbalimbali nilikuwa namponda Samia Suluhu, kwenye ujinga nitasema tuu hata kama n kweli sina chama. Chadema mnafanya upuuzi ndo nisiseme.?
Kumponda Samia hakuna maana wewe sio shabaki wa chama chake. Hamna mtu anayekukataza kuisema Chadema. Kuna kuikosoa kinadharia na kuikosoa kishabiki. Wewe ukosoaji wako ni wa kishabiki. Ni haki yako kufanya hivyo. Ninachoshangaa ni unapoukana ushabiki wako.

Amandla...
 
Kumponda Samia hakuna maana wewe sio shabaki wa chama chake. Hamna mtu anayekukataza kuisema Chadema. Kuna kuikosoa kinadharia na kuikosoa kishabiki. Wewe ukosoaji wako ni wa kishabiki. Ni haki yako kufanya hivyo. Ninachoshangaa ni unapoukana ushabiki wako.

Amandla...
Hongera kwa kunijua kuliko mm navojijua
 
Hawaijui njaa hao, wakae siku mbili bila kula ndo watajua moto wake. Chadema acheni kumtishia mtu mzima nyau.
Hamtaki kula halafu viongozi wenu huko USA wana-slide kwenye snow tuu
Wape muda wakipata njaa wataomba msosi wenyewe pumbavu zao.
 
Back
Top Bottom