Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Wewe unakamatwa lini kamanda ??Watu hawa tangu walivyokamatwa siku 5 sasa hawajapelekwa Mahakamani , wala hawaruhusiwi kuonana na ndugu zao pamoja na wakili wao .
View attachment 1884601
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unakamatwa lini kamanda ??Watu hawa tangu walivyokamatwa siku 5 sasa hawajapelekwa Mahakamani , wala hawaruhusiwi kuonana na ndugu zao pamoja na wakili wao .
View attachment 1884601
Kweli kabisa si amuuua mama yako baada ya dozi ya usiku.Gaidi hana maana kwa kuwa anakuwa na nia ya kuua binadamu.
Sindio wamewakamata au unasemaje?Hivi unaogopa kivuli cha wanasiasa wewe una jeshi polisi tiss takukuru etc una wasi gani achia watu wafanye siasa
Mbona wewe hukushiriki mkuu? Ili wakunyonge makende yako??!!Waumizwe kwa kufanya kosa gani? Unataka kuhalalisha watu kupigwa ili kuwatia hofu huku wakiwa hawana kosa lolote?
Wewe ndio ulijidai huna chama? Kwa nini mnaona aibu kujitambulisha kuwa ni mashabiki wa chama tawala?Hawaijui njaa hao, wakae siku mbili bila kula ndo watajua moto wake. Chadema acheni kumtishia mtu mzima nyau.
Hamtaki kula halafu viongozi wenu huko USA wana-slide kwenye snow tuu
Kafa jiwe Na chadema Kaiacha!Acha wafe tu kama ni magaidi.
Na wewe wakunyonge makende yako ni gaidiKweli kabisa si amuuua mama yako baada ya dozi ya usiku.
Kila mtu atakufa na wewe utakufa ila cha maana utakumbukwa kwa lipi.Kafa jiwe Na chadema Kaiacha!
Sawa bibiye!Na wewe wakunyonge makende yako ni gaidi
Hata kama na wewe ni gaidi kufa tu hatuhitaji magaidi nchi hii
Jitokeze siyo unatoa mapovu tu JF wenzako wako SegereaSawa bibiye!
Pana siku yenuHata kama na wewe ni gaidi kufa tu hatuhitaji magaidi nchi hii
Zwazwa wewe mm nimetoa mapovu wapi?Jitokeze siyo unatoa mapovu tu JF wenzako wako Segerea
Huna uwezo huo kila mara tunawaambia.
Swali gumu hapa ni nani siyo mstaarabu?Mnajenga taifa litakalo kuwa na watu katili sana baadae, na mnafaham sana udhaifu mlio nao. Be human, stop this ugly politics. Everything has a replica, wajengeeni watu tabia, few years you will see how the public may turn and torn you. Review your thinking machinery..
Ijumaa nilikuwepo vizuri sana wakatuzuia hata kusogelea mahakamani. Polisi mmoja najuana naye nikamuuliza kuhusu kumkamata yule aliyejiunganishia bomba la mafuta, akasema IGP anajua hizo habari zake. Ila aliniasa sana kuwa nisisogee mbele zaidi jamaa wamepewa maagizo hatarishi.Mbona wewe hukushiriki mkuu? Ili wakunyonge makende yako??!!
Huna uwezo huo wewe gaidi subiri ukipelekwa ahera ukapate bikra kumi kabisa!Zwazwa wewe mm nimetoa mapovu wapi?
Au unawashwa? Nitakuziba kujamba very soon endelea kunifuatafuata.!
Nitaanza kukutoa bikra yako kabla sijaenda kupewa hao bikra kumi huko akhera.Huna uwezo huo wewe gaidi subiri ukipelekwa ahera ukapate bikra kumi kabisa!