Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa Segerea waanza kugoma kula kushinikiza washitakiwe ama waachiwe

Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa Segerea waanza kugoma kula kushinikiza washitakiwe ama waachiwe

Wenye makosa makubwa ni polisi siyo watu. Kwa nini wasiwapeleke mahakamani kama wana kosa???
Ofisi za CHADEMA hata ikiwa ya Headquarters inaweza kukaa kundi la watu wangapi mpaka hiyo iitwe mkusanyiko??
Jamani polisi wetu hawajasoma????
Sirro aache ukatili!!
Namwambia Mola anamwona! Asitake laana kwa kizazi chake!!! Dunia inapita!!!
 
Eti nasikia polisi wamevunja ofisi za Kazi za Chadema bila warrant! I hope waliofanya hivyo wameshtakiwa!!!
 
Eti polisi wanamtafuta mke wa mtu wakimkosa wanamchukua mume wake na hawamwachii mpaka mke aende polisi wamkamate!!!
I hope polisi hawa wameshtakiwa kwani ni makosa makubwa!!!! Unamkamataje huyo mume?? Mke mwenyewe hana kosa???
 
Mimi ninamwuliza Sirro inakuwaje polisi ni rahisi sana kukamata watu wa Chadema lakini wahalifu wote wa awamu ya tano hawajakatwa???
Sasa ni Nani gaudi mkubwa sana TANZANIA???
 
Waachwe masaa 48 bila kula waone kinachotokea,

Huu utoto utoto niliwaambia umeshajulikana, hautowasaidia

Fuateni sheria.
 
MPUMBAVU ni nani?

Ni mtanzania anayejazwa upepo akaumizwe au wakati mwenzake ana-tweet akiwa sebuleni juu ya Sofa
Tulikuwa Kisutu tukasikitika sana, hatujaona hata mmoja kati ya wanaojiita wanaharakati twitter akiwa mstari wa mbele kusema #MboweIsNotATerrorist

Wakishatakiwa mtalia lia mnasema mnaonewa tumieni wembe ule ule.

Waumizwe kwa kufanya kosa gani? Unataka kuhalalisha watu kupigwa ili kuwatia hofu huku wakiwa hawana kosa lolote?
 
MPUMBAVU ni nani?

Ni mtanzania anayejazwa upepo akaumizwe au wakati mwenzake ana-tweet akiwa sebuleni juu ya Sofa
Tulikuwa Kisutu tukasikitika sana, hatujaona hata mmoja kati ya wanaojiita wanaharakati twitter akiwa mstari wa mbele kusema #MboweIsNotATerrorist

Wakishatakiwa mtalia lia mnasema mnaonewa tumieni wembe ule ule.

Nmeamini mwamba wa chato alikuwa amekukata pabaya baada ya ule mwezi wa watatu naona umeanza kutamalaki kwa kasi!! Hahaaaaa, jiongeze angalau kidogo, uangali na vizazi vyako vijavyo usione tu ya leo!!

Elewa kilichokufanya ukapotea kipindi cha mwamba wa chato ndo akina mbowe wanapigania kisije tokea ndani ya nchi hii!!

Hawaangali leo hii wanapambana ili pia vitukuu wako wasije pata shida kwenye tawala zijazo!!

Hata kama sasa hv unafahamika na utawala uliopo anaweza ibuka mtawala siku zijazo ambaye hatawaangalia vituu vyako,,

Jitahidi kuangalia jamii kubwa ya vizazi vijavyo siyo leo yako tu!!
 
Wako busy Twita kwenye ule upuuzi ety space, wapumbavu wanaandamana mahakamani halafu wenye akili zao za kuwaendesha wapumbavu wanaandamana Twita.
"za kuambiwa changanya na zako" ilisikika sauti iliyotoka kwenye kinywa chenye tabasamu murua.
 
Back
Top Bottom