Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa Segerea waanza kugoma kula kushinikiza washitakiwe ama waachiwe

Hatari sana hii. Wafungwa wa siasa wakianza kugoma kula, lazima jumuiya za kimataifa zitaingilia kati sasa hivi. Hili siyo jambo la serikali kulipuuzia. Ushauri wa kufanya ni serikali itafute watu wa nyama choma wawapeleke pale Segerea. Waanze kuchoma nyama, waliogoma kula wakisikia harufu ya nyama choma watavunja mgomo wa kula haraka sana.
 
Bongo sio Europe or America ukigoma kula wanakuacha mpaka inakufa alaf wanasema amekufa kwa mshtuko wa moyo
 

..wanaomiza wenzao bila sababu za msingi tuwaite majina gani?

..dhuluma na uonevu wa dola dhidi ya chadema inatufaidisha nini Watanzania?
 
Mnajenga taifa litakalo kuwa na watu katili sana baadae, na mnafaham sana udhaifu mlio nao. Be human, stop this ugly politics. Everything has a replica, wajengeeni watu tabia, few years you will see how the public may turn and torn you. Review your thinking machinery..
 
Usihangaike na huyo mtu duni
 
Mahabusu kuna masufuria kumbe
 
Yaani wasile usiku na mchana kwa siku tatu tu yaani masaa sabini na mbili ndo wataijua njaa ilivyo wanatishia nyau tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…