Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HoneyyyyyyyWasola
Vijana wa nchi hii ya Tanganyika ndio wanatakiwa kuikomboa nchi yao ya Tanganyika. Kuendelea na akiki za kizee za CCM kutaifanya nchi iendelee kunyonywa na makabaila wa unguja na wajanja wache wa ccm. Bahati mbaya sana vijana wengi wa nchi hii wamejaa ujinga wa kuwaza umbea, uchawa, na upuuzi mwingine. Wamekalia Simba na Yanga kuliko maslahi ya nchi yao ya Tanganyika. Wenye akili tuendelee kupiga kelele ili Tanganyika irudi kwa watanganyika.Maneno huumba!
Matokeo yanaweza yasitokee leo, lakini hayataacha kutimia.
Ibariki Tanganyika kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo.
Ibariki nchi ya Tanganyika na watu wake.
Na abarikiwe kila aibarikiye nchi nzuri ya Tanganyika, na kila mwenye hila juu ya Tanganyika, hila hizo zimrudie yeye na kizazi chake.
AMINA!
Pombe hiyo, achana nayo!Hakuna comma, nukta Wala paragraph.
Andika vizuri HOJA Kwa mpangilio basi.
Ahaa kwahio kumbe muungano wa Tanzania hauna matatizo, mwenye matatizo haina ya rais anayetawala sawaNi kweli mkuu Zanzibar inapendelewa sana kipindi hiki ambacho Rais wa JMT ni mzanzibari na kule Zanzibar ni mzanzibari .
Hakuna uwiano katika maamuzi ya mambo yanayohusu Tanganyika kwa level za juu za kimaamuzi.
Ukiona nilicho andika hakieleweki, achana nacho si lazima usome unilipii wewe bando, na usitake niandike unachopenda wewe, mimi na andika kile ninacho kiamini ,mimi,Hakuna comma, nukta Wala paragraph.
Andika vizuri HOJA Kwa mpangilio basi.
Huuiano gani unao utaka weweNi kweli mkuu Zanzibar inapendelewa sana kipindi hiki ambacho Rais wa JMT ni mzanzibari na kule Zanzibar ni mzanzibari .
Hakuna uwiano katika maamuzi ya mambo yanayohusu Tanganyika kwa level za juu za kimaamuzi.
Muhitimu wa kizazi cha zamani cha Kizimkazi Primary School unategemea hivyo anavijulia wapi?Hakuna comma, nukta Wala paragraph.
Andika vizuri HOJA Kwa mpangilio basi.
Mimi sipo hapa kuandika, mambo, unayo yataka wewe, kama unaona nilicho andika, ukielewi acha kusoma sio lazima upoteze muda wako, kusoma usicho kielewa
Wewe usifikiri mimi, Mzanzibari hila, hata kama. Ningekua, mzanzibar, sio zambi, hila huo ndio ukweli malalamiko, yenu mengi, mna angalia, nani anatawalaMuhitimu wa kizazi cha zamani cha Kizimkazi Primary School unategemea hivyo anavijulia wapi?
Au ukute ni mwalimu wa hiyo shule.
Kichwa boga.Wewe usifikiri mimi, Mzanzibari hila, hata kama. Ningekua, mzanzibar, sio zambi, hila huo ndio ukweli malalamiko, yenu mengi, mna angalia, nani anatawala
Mkuu mbona enzi za Chato kuwa Chatu watu hawakuhoji upendeleo wa wazi. Kanuni mpya imetokea, tena ndani ya CCM yenyewe.Ni kweli mkuu Zanzibar inapendelewa sana kipindi hiki ambacho Rais wa JMT ni mzanzibari na kule Zanzibar ni mzanzibari .
Hakuna uwiano katika maamuzi ya mambo yanayohusu Tanganyika kwa level za juu za kimaamuzi.