Viongozi wa dini wana nafasi ya muhimu kusaidia harakati za kuidai Tanganyika

Viongozi wa dini wana nafasi ya muhimu kusaidia harakati za kuidai Tanganyika

Hatuhitaji kupmba baraka mana tunazo, tunatakiwa kuomba mabalaa yaongoke ikiwepo MAJIZI YA CCM
 
"Tanganyika, wote wanaotaka kukuzika wazikwe wao, lakini wewe na watu wako mstawi siku zote za uhai wa dunia", na wote wakupendao waseme , "AMINA"
 
CCM kwanza waachie Madaraka,

Kisha tutaliombea Taifa kupitia Mungu Zeus na Ashera!
 
Maneno huumba!

Matokeo yanaweza yasitokee leo, lakini hayataacha kutimia.

Ibariki Tanganyika kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo.

Ibariki nchi ya Tanganyika na watu wake.

Na abarikiwe kila aibarikiye nchi nzuri ya Tanganyika, na kila mwenye hila juu ya Tanganyika, hila hizo zimrudie yeye na kizazi chake.

AMINA!
Vijana wa nchi hii ya Tanganyika ndio wanatakiwa kuikomboa nchi yao ya Tanganyika. Kuendelea na akiki za kizee za CCM kutaifanya nchi iendelee kunyonywa na makabaila wa unguja na wajanja wache wa ccm. Bahati mbaya sana vijana wengi wa nchi hii wamejaa ujinga wa kuwaza umbea, uchawa, na upuuzi mwingine. Wamekalia Simba na Yanga kuliko maslahi ya nchi yao ya Tanganyika. Wenye akili tuendelee kupiga kelele ili Tanganyika irudi kwa watanganyika.
 
Mungu aibariki kila anayeinenea Tanganyika mema.
 
Hata kama kuna hoja za msingi kwanini hoja hii inapamba moto baada ya mama samia kuwa rais mbona marais wengi wamepita hii hoja haikushamili kama hivi sasa watu hoja zao sijui Tanganyika tunapolwa nchi yetu sijui Zanzibar inaimeza Tanganyika unajua hata kama hoja ya msingi itakosa uungwaji mkono kwasababu mnachagua akiwa rais wa bara kilele za Tanganyika hakuna au mnataka kuaminisha watu akitawala mbara ndio anainyanyua Tanganyika ni hivi hii hoja hili iwe na mashiko inatakiwa iendelee hata kama atatawala m,bara, lakini kama malalamiko haya yatakua akitawala mzenji ndio yanaibuka hoja zenu zitakosa mashiko hata kama zitakuwa za msingi mimi mwenyewe nakubaliana na hoja zenu lakini mnanipa mashaka kama kweli Zanzibar inainyonya Tanganyika au mnamchukia mtawala kwakua anatoka Zanzibar hivi niwaulize kidogo ikitokea rais wa Zanzibar aka agiza watanganyika wauliwe kama mkapa alivyo amrisha wa Zanzibar wauliwe mwaka 2001 baada ya kupora ushindi wa Maalim selfu mwaka 2000 je mngefanyaje acheni kujificha kwenye matembele bado mtaonekana yangu ni hayo tu
 
Tanganyika tungekuwa na viongozi wenye maono na uzalendo tofauti na haya mabumunda ya CCM tungekuwa super power kama siyo Africa basi duniani.
 
Ni kweli mkuu Zanzibar inapendelewa sana kipindi hiki ambacho Rais wa JMT ni mzanzibari na kule Zanzibar ni mzanzibari .

Hakuna uwiano katika maamuzi ya mambo yanayohusu Tanganyika kwa level za juu za kimaamuzi.
 
Ni kweli mkuu Zanzibar inapendelewa sana kipindi hiki ambacho Rais wa JMT ni mzanzibari na kule Zanzibar ni mzanzibari .

Hakuna uwiano katika maamuzi ya mambo yanayohusu Tanganyika kwa level za juu za kimaamuzi.
Ahaa kwahio kumbe muungano wa Tanzania hauna matatizo, mwenye matatizo haina ya rais anayetawala sawa
 
Hakuna comma, nukta Wala paragraph.

Andika vizuri HOJA Kwa mpangilio basi.
Ukiona nilicho andika hakieleweki, achana nacho si lazima usome unilipii wewe bando, na usitake niandike unachopenda wewe, mimi na andika kile ninacho kiamini ,mimi,
 
Ni kweli mkuu Zanzibar inapendelewa sana kipindi hiki ambacho Rais wa JMT ni mzanzibari na kule Zanzibar ni mzanzibari .

Hakuna uwiano katika maamuzi ya mambo yanayohusu Tanganyika kwa level za juu za kimaamuzi.
Huuiano gani unao utaka wewe
 
Hakuna comma, nukta Wala paragraph.

Andika vizuri HOJA Kwa mpangilio basi.
Muhitimu wa kizazi cha zamani cha Kizimkazi Primary School unategemea hivyo anavijulia wapi?

Au ukute ni mwalimu wa hiyo shule.
 
Muhitimu wa kizazi cha zamani cha Kizimkazi Primary School unategemea hivyo anavijulia wapi?

Au ukute ni mwalimu wa hiyo shule.
Wewe usifikiri mimi, Mzanzibari hila, hata kama. Ningekua, mzanzibar, sio zambi, hila huo ndio ukweli malalamiko, yenu mengi, mna angalia, nani anatawala
 
Wewe usifikiri mimi, Mzanzibari hila, hata kama. Ningekua, mzanzibar, sio zambi, hila huo ndio ukweli malalamiko, yenu mengi, mna angalia, nani anatawala
Kichwa boga.

Umeibebesha shingo zigo la tikitiki maji.
 
Ni kweli mkuu Zanzibar inapendelewa sana kipindi hiki ambacho Rais wa JMT ni mzanzibari na kule Zanzibar ni mzanzibari .

Hakuna uwiano katika maamuzi ya mambo yanayohusu Tanganyika kwa level za juu za kimaamuzi.
Mkuu mbona enzi za Chato kuwa Chatu watu hawakuhoji upendeleo wa wazi. Kanuni mpya imetokea, tena ndani ya CCM yenyewe.

Acha maji yachukue mkondo wake. "Charity begins at home" hii ndiyo kauli maarufu katika kuutetea utawala na watawala. Hesabu kuhusu uwiano ya idadi ya Watanganyika wapatao 60Mn na Wanzibari 2Mn haina mantiki kwa hesabu za watawala wa sasa, wao wanatembea na historia ya mtawala aliyepita.
 
Back
Top Bottom