Viongozi wa dini wana nafasi ya muhimu kusaidia harakati za kuidai Tanganyika

Viongozi wa dini wana nafasi ya muhimu kusaidia harakati za kuidai Tanganyika

Hata kama kuna hoja za msingi kwanini hoja hii inapamba moto baada ya mama samia kuwa rais mbona marais wengi wamepita hii hoja haikushamili kama hivi sasa watu hoja zao sijui Tanganyika tunapolwa nchi yetu sijui Zanzibar inaimeza Tanganyika unajua hata kama hoja ya msingi itakosa uungwaji mkono kwasababu mnachagua akiwa rais wa bara kilele za Tanganyika hakuna au mnataka kuaminisha watu akitawala mbara ndio anainyanyua Tanganyika ni hivi hii hoja hili iwe na mashiko inatakiwa iendelee hata kama atatawala m,bara, lakini kama malalamiko haya yatakua akitawala mzenji ndio yanaibuka hoja zenu zitakosa mashiko hata kama zitakuwa za msingi mimi mwenyewe nakubaliana na hoja zenu lakini mnanipa mashaka kama kweli Zanzibar inainyonya Tanganyika au mnamchukia mtawala kwakua anatoka Zanzibar hivi niwaulize kidogo ikitokea rais wa Zanzibar aka agiza watanganyika wauliwe kama mkapa alivyo amrisha wa Zanzibar wauliwe mwaka 2001 baada ya kupora ushindi wa Maalim selfu mwaka 2000 je mngefanyaje acheni kujificha kwenye matembele bado mtaonekana yangu ni hayo tu
Mkuu

Mama samiah ni Abdu jumbe wa zama hizi SEMA zama za Leo Nyerere hayupo wa kumkemea!!

Anatumia provoking tactics Ili kuua muungano hasa pale anapouza au kuingia mikataba tata ya ngorongoro na Bandari salama!!

Ndio maana Kuna kelele hizo nyiingi!!

Baada ya utawala huu na katiba mpya kupatikana naona mamlaka kamili ya Zanzibar yakipatikana kwa tactics hizi zinavyo jionesha dhahiri!!
Ngoja tuzione sarakasi !
 
Kazi ya viongozi wa dini ni kukemea maovu lakini viongozi wa dini wamepewa rushwa hivyo wameamua kuwasaliti watanzania,nawashangaa raia wanaokwenda misikitini na kanisani maana watu wa kuwasemea wamelamba asali ya ccm
 
Hata kama kuna hoja za msingi kwanini hoja hii inapamba moto baada ya mama samia kuwa rais mbona marais wengi wamepita hii hoja haikushamili kama hivi sasa watu hoja zao sijui Tanganyika tunapolwa nchi yetu sijui Zanzibar inaimeza Tanganyika unajua hata kama hoja ya msingi itakosa uungwaji mkono kwasababu mnachagua akiwa rais wa bara kilele za Tanganyika hakuna au mnataka kuaminisha watu akitawala mbara ndio anainyanyua Tanganyika ni hivi hii hoja hili iwe na mashiko inatakiwa iendelee hata kama atatawala m,bara, lakini kama malalamiko haya yatakua akitawala mzenji ndio yanaibuka hoja zenu zitakosa mashiko hata kama zitakuwa za msingi mimi mwenyewe nakubaliana na hoja zenu lakini mnanipa mashaka kama kweli Zanzibar inainyonya Tanganyika au mnamchukia mtawala kwakua anatoka Zanzibar hivi niwaulize kidogo ikitokea rais wa Zanzibar aka agiza watanganyika wauliwe kama mkapa alivyo amrisha wa Zanzibar wauliwe mwaka 2001 baada ya kupora ushindi wa Maalim selfu mwaka 2000 je mngefanyaje acheni kujificha kwenye matembele bado mtaonekana yangu ni hayo tu
Mtu hapangiwi muda wa kudai chake.
 
Utasubiri sana, zile mbuzi za tec tulizidhalilisha mchana kweupe, na wakala ubwabwa
 
Sometime huu Uhuru bandia na muungano Fake ni bora uendelee kuwepo kwa maslahi ya nchi na usalama wa raia.

Hiyo Zanzibar bila kuwa chini ya kivuli cha muungano feki, huko kungekuwa chimbuko kubwa la Ugaidi na mambo mengi ya hovyo yasiyovumilika.

Kwa bahati mbaya haya magaidi yangeitumia iyo ardhi kama ngome yao ama lango hapa East Afrika mpaka kuingia Central Afrika,south afrika,

Fitna zote za hao mashekhe wa mchongo na baadhi ya wazanzibar kudai muungano uvunjike ukiwauliza nini sababu ama kipi watakacho utaona majibu yao kwamba[emoji116]

[emoji117]Wanadai wao watapata maendeleo kwa kushirikiana na ndugu zao wa huko Uarabuni.

[emoji117]wanaamini Watapewa misaada mingi toka huko uarabun na kuifanya hiyo ardhi iwe chini ya tawala zinazofuata sheria za uislam.

Nyerere hakuwa Lofa eti aungane na mtu ambaye hatomnufaisha, na mkumbuke nyerere alikuwa kiongozi wa koloni la Wazungu(uingereza), Taifa ambalo liko kinyume na tawala za mwarabu, hivyo isingekuwa rahisi hao wazungu kuacha ardhi ya Zenji ijitawale kwa mamlaka kamili na kumilikiwa ama kuwa kolon la adui yake mwaarabu, hiyo isingewezekana, na hata mwarabu angeitawala Tanganyika asingekubali hiki walichokipinga wazungu.

Suala la Muungano kuvunjika hilo sahauni maana lina mikono mirefu ya wakubwa na wasio wakubwa, hakuna pimbi wa kanisa wala msikiti anaweza vunja huo muungano hata waandamane na kulia adharani, mybe Mkoloni aamue mwenyewe, kwa maamuzi ya upinzan wa wanasiasa na wafuasi wa wavunja muungano, hilo jambo sahauni.

Muungano feki unaboa lkn ndio hivyo tukubali , tu.
 
Hiyo Zanzibar bila kuwa chini ya kivuli cha muungano feki, huko kungekuwa chimbuko kubwa la Ugaidi na mambo mengi ya hovyo yasiyovumilika.

Kwa bahati mbaya haya magaidi yangeitumia iyo ardhi kama ngome yao ama lango hapa East Afrika mpaka kuingia Central Afrika,south afrika,

Fitna zote za hao mashekhe wa mchongo na baadhi ya wazanzibar kudai muungano uvunjike ukiwauliza nini sababu ama kipi watakacho utaona majibu yao kwamba
emoji116.png


emoji117.png
Wanadai wao watapata maendeleo kwa kushirikiana na ndugu zao wa huko Uarabuni.

emoji117.png
wanaamini Watapewa misaada mingi toka huko uarabun na kuifanya hiyo ardhi iwe chini ya tawala zinazofuata sheria za uislam.

Na nyinyi muda wote mlikuwamnapenda misaada ya wazungu kwa kudhani waliwaletea ugalatia wenu, mkawa mmejiona mmefika nchi ya kaanani
Tokea zamani waliwataarifu kuhusu usawa wa machoko mkaziba masikio huku mkitembeza bakuli, mpaka walivyomchana live nyerere na tabia yake ya kuombaomba kwa kudhani alikula shubiri na kanisa walivyomwambia akubali mapunga ndio akapata nafasi ya kumwangushia jumba bovu Mwinyi
Na sasa ukatoliki umeshasema upunga ni ruksa, mnatafuta sababu ya Zanzibar kushtukia hii njama ya upunga na kuwa na mpango wa kujitoa ndio mnakuja na viroja vya kanisa.
 
Kama ambavyo wapigania uhuru wa awali waliiwezesha Tanganyika kupata uhuru kwa njia ya amani, hata sasa njia za kidiplomasia zinaweza kusaidia Tanganyika kurejeshewa uhuru wake.

Katika mapambano ya awali, viongozi wa dini walishiriki japo si kwa uwazi sana.

Historia inaonesha kuwa viongozi wa dini kutoka dini ya Kiislamu na Catholic walishiriki pakubwa katika kuwahamasisha watu wao umuhimu wa kujitawala. Madhalani, mapadri wa Catholic walizitumia Biblia kuwafundisha waumini wao ubaya wa kutawaliwa na faida za kujitawala.

Kuna masimulizi kuwa Mmisionari wa Kikatoliki alikuwa akikutana kwa siri na viongozi wa dini ya Kiislamu na madhehebu mengine ya Kikristo na kushauriana jinsi ya kuwaandaa watu wao kwa ajili ya kudai uhuru.

Kwa jinsi ambavyo Tanganyika imeendelea kufichwa kwenye koti la Tanzania, ni dhahiri kuwa kutahitajika Elimu kwa Watanganyika ili waone umuhimu na faida ya kudai kurejeshewa nchi yao. Naamini viongozi wa dini wanajua athari za jina la nchi moja kumezwa na jina la nchi nyingine.

Nitoe wito kwa viongozi wetu wa dini kufuata nyayo za Desmond Tutu aliyesimama kidete pamoja na wananchi wa Afrika Kusini kupaza sauti hadi ubaguzi wa rangi ukafutiliwa mbali.

Askofu Zakaria Kakobe alishajaribu, lakini hapaswi kuishia hapo. Aendelee kuelimisha hadi somo lieleweke.

Tafadhalini sana viongozi wa dini. Waelimishemi kwa upendo waumini wenu cha kufanya ili nchi yao ya Tanganyika iweze kurejeshwa.
View attachment 2891573
Muhimu la kwanza Tubadili vipengele viwili vya katiba.

1. Itikadi ya serikali.
Badala ya kuwa na serikali isiyo na dini; tuwe na serikali ya dini zote.

Serikali ya dini zote ni ile inayolimda wenye dini. Tofauti na sasa serikali inamilikiwa na dini moja toka uhuru.

Ni juzi tu Samia kawadindia wenye nchi juu ya mkataba wa uwekezaji wa bandari kwa waarabu.

2. Tupiganie mfumo wa utawala wa serikali za majimbo yenye nguvu zaidi au nguvu kamili ya kujiamulia mambo yake wenyewe.
 
Kama ambavyo wapigania uhuru wa awali waliiwezesha Tanganyika kupata uhuru kwa njia ya amani, hata sasa njia za kidiplomasia zinaweza kusaidia Tanganyika kurejeshewa uhuru wake.

Katika mapambano ya awali, viongozi wa dini walishiriki japo si kwa uwazi sana.

Historia inaonesha kuwa viongozi wa dini kutoka dini ya Kiislamu na Catholic walishiriki pakubwa katika kuwahamasisha watu wao umuhimu wa kujitawala. Madhalani, mapadri wa Catholic walizitumia Biblia kuwafundisha waumini wao ubaya wa kutawaliwa na faida za kujitawala.

Kuna masimulizi kuwa Mmisionari wa Kikatoliki alikuwa akikutana kwa siri na viongozi wa dini ya Kiislamu na madhehebu mengine ya Kikristo na kushauriana jinsi ya kuwaandaa watu wao kwa ajili ya kudai uhuru.

Kwa jinsi ambavyo Tanganyika imeendelea kufichwa kwenye koti la Tanzania, ni dhahiri kuwa kutahitajika Elimu kwa Watanganyika ili waone umuhimu na faida ya kudai kurejeshewa nchi yao. Naamini viongozi wa dini wanajua athari za jina la nchi moja kumezwa na jina la nchi nyingine.

Nitoe wito kwa viongozi wetu wa dini kufuata nyayo za Desmond Tutu aliyesimama kidete pamoja na wananchi wa Afrika Kusini kupaza sauti hadi ubaguzi wa rangi ukafutiliwa mbali.

Askofu Zakaria Kakobe alishajaribu, lakini hapaswi kuishia hapo. Aendelee kuelimisha hadi somo lieleweke.

Tafadhalini sana viongozi wa dini. Waelimishemi kwa upendo waumini wenu cha kufanya ili nchi yao ya Tanganyika iweze kurejeshwa.
View attachment 2891573
Km huna akili katafute ht za kuazima. Jitu zima inapoteza muda kuandika upupu km huu bila ht haya? Bwege kwl.
 
Back
Top Bottom