Viongozi wa G7 wailaumu China kwenye mkutano wao unaofanyika Italy

China kakopa sana kujenga china, anadaiwa sana kuliko mnavyodhani. Na viwanda vingi China siyo mali ya china, mahusiano aliyo sign WTO ndiyo yalifanya aonekane hivyo alivyo leo, sasa anataka kujitia uchizi, na atakuwa chizi kweli.
Anadaiwa na nani ?
 
Mgawanyo wa viwanda China upoje kati ya wachina na watu wa nje ? njoo na data
 
Na viwanda vingi China siyo mali ya china, mahusiano aliyo sign WTO ndiyo yalifanya aonekane hivyo alivyo leo
Tutajie viwanda vya China ambavyo sio mali yao?

Unaweza kututajia kazi za WTO na kwa nini China alijunga WTO?
 
Stori za vijiweni
 
Yan katika haya yote naona kabisa Putin ameamua kuiangamiza USA na washirika wake ....Kwanzia ishu ya Mkataba wa mafuta wa USA na Saudi Arabia, ishu ya kusupport overthrow za serikali za nchi kama BurkinaFaso n.k, kupartner na China yan ...ishu ya capitalism ipo katika danger zone na Putin is the master mind of all these ...sad enough huyu mwisho wake hauwezi kua wa kishamba kama kina Gaddafi ..he is winning slowly his mission.
 
Walitakiwa wajifunze kwa nini China inafaulu kutengeneza bidhaa za high tech kwa gharama ndogo tofauti na wao
Hakuna cha kijifunza, China bado ni nchi inayoendelea hivyo wafanyakazi wanalipwa ujira mdogo kuganga njaa, China pia vyama vya wafanyakazi havina nguvu. Marekani, Ulaya na Japan ziko kwenye saturation point linapokuja suala la viwanda vya bidhaa. Huduma kama IT, filamu, muziki mpira, utalii, matibabu, elimu n.k kwa sasa hivi ndio zinalipa zaidi kwao.
 
China bado ni nchi inayoendelea hivyo wafanyakazi wanalipwa ujira mdogo kuganga njaa
Unaijua vizuri concept ya Purchasing Power Parity (PPP). Kaisome vizuri hiyo halafu tuje tuzungumze.

Ndio ujiulize kwa nini China imeipita USA kwenye GDP in PPP?

Kati ya Ulaya, Marekani na China ni wapi pana high cost of living?

Unaweza kusema Mchina analipwa mshahara mdogo ukilinganisha na Marekani au Ulaya lakini Mchina huyohuyo anapata mahitaji yaleyale sawa na anayelipwa mshahara standard pale Marekani au Ulaya

Hawa ndio Wachina waganga njaa:

Waganga njaa ndio top international tourism spenders



Unapozungumzia global luxury market waganga njaa wamezidi hata mataifa ya Ulaya na wanaenda kuizidi Marekani na kuwa top kufikia 2025
 
Haa wee kwaiyo tuachae hata kulima wote tuingie bongo muvi.
 
Huduma kama IT, filamu, muziki mpira, utalii, matibabu, elimu n.k kwa sasa hivi ndio zinalipa zaidi kwao.
Kwenye filamu unajua total box office ya China?

Kwenye IT ukizungumzia nchi zinazofanya vizuri duniani utaitoa China kweli?

Kwenye utalii, unapozungumzia foreign tourists visiting each year unajua China ni ya ngapi kwenye top 5 ya most visited countries?
 
Tafuta mwenyewe nadhani utazipata kwasababu unaelewa kila kitu kuhusu China na globafinance , and economy.
Kwa nini usitusaidie kutafuta mkuu? Wewe umeleta hoja yako ingependeza uitetee basi ili wote tuone kama unachosema ni cha kweli

Kama umeshindwa basi habari yako ni uongo kama uongo mwingine
 
Kenya itawapatia!
 
Umepata madeni ya China sasa au haidaiwi?
Taifa linapokuwa na deni la nje na linazidi GDP ujue hapo kuwa kiuchumi wanasema is very risk

Iko hivi China wana deni dogo sana la nje ukilinganisha na Marekani deni la nje la China ni 2.5 USD Trillion, Marekani ni 34 USD Trillion

Kwa hiyo China's government debt only accounts for 13.7% of GDP, which is very healthy

USA external debt to GDP ni 123% hii ni unhealthy kwa uchumi wa nchi
 
Hahaha tafuta taarifa zaidi za madeni ya china, utaelewa tu acha kurukaruka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…