Viongozi wa G7 wailaumu China kwenye mkutano wao unaofanyika Italy

Viongozi wa G7 wailaumu China kwenye mkutano wao unaofanyika Italy

Hahaha tafuta taarifa zaidi za madeni ya china, utaelewa tu acha kurukaruka.
Hizo ndio taarifa za Marekani na China ni juu yako kuzifanyia anaysis kiuchumi

Nimekupa data na wewe unaweza kuja na data na uchambuzi wa kiuchumi

But always keep in your mind kwenye uchumi huwa tunasema:

The higher the debt-to-GDP ratio, the less likely the country will pay back its debt and the higher its risk of default, which could cause a financial panic in the domestic and international markets

Simply: This ratio shows how much a country owes (debt) compared to what it produces (GDP)

Ni juu yako kufanya analysis au kuwa shabiki
 
Back
Top Bottom