Viongozi wa Simba hasa Barbara wasidhani kila Mtanzania ni mbumbumbu au hatujatembea na hatujuwi lolote.

Ushabiki wa kibongo unaweza kukufanya uwe bonge la fala. Hata kufikiria huwezi. Sasa ni kama tumeshikiwa akili na mwanamke. Hata kama waipenda team, bora kujiongeza. Kesho tusianze kumrushia mawe tena.
 
Viongozi wameshajua mashabiki wao ni mbumbumbu Kwaiyo wanatengeneza mazingira ya kuonyesha wamefungwa na kutolewa kwenye mashindano Sababu hawakupewa pikipiki ya kuwaongoza.
 
Nadhani ni mwendelezo wa chuki na roho mbaya kutoka mashabiki wa Gongowazi.

Kuna ambao wanafanya kazi Azam TV, unaposema ni uongo na propaganda kwa Camera za Azam TV wao wanakudharau kuona hujui mambo.

Na Camera za Ayoma Tv ambao wapo kule Afrika Kusini walioripoti hii taarifa nao wanadanganya ila wewe ndo mkweli.
 
Utopooo tulia Barba anajua anachofanya
Anachokifanya ni kuwadanganya kwa sababu ya umaskini.

Ingekuwa ni Uefa saa hizi mashabiki wa Simba wengi wangekuwa wameenda Johannesburg kuisapoti timu na nafasi ya uongo kama huu isingekuwepo.

Kutoka Dar mpaka Johannesburg nadhani ni kilometers 5000 tu.
 
Hayo maisha mazuri si wamelipia mkuu?
Ni kama vile wamekukera, maana juzi ulikuwa unaandika mengine humu kwamba simba watakiona cha moto kutoka kwa mashabiki.....
Escort ni lazima na nadhani ni utaratibu wa CAF sio suala la kusema hapa ni salama hapahitaji Escort.
 
Hawajanikera, nataka mashabiki mbumbumbu wasiojuwa lolote wasidanganywe, Simba ina bonge la good time South Africa kuliko wanavyotaka kudanganya mashabiki, hili ndilo nalikataa na nimeona nitumie jukwaa la JF linasomwa na wengi propaganda hizi haziwezi kufanya kazi.

Vita na Orlando ipo uwanjani na si nje ya uwanja huo ndio ukweli na Watanzania wasidanganywe.
 
Mkuu Sandton ni wapi wewe uliyeishi Sandton?
 
Mbumbumbu limekasirika hatar
 
Wanagoodtime sababu wapovizuri kiuchumi....
Na ile kusema hawajapewa escort ilikuwa ni mockery ndio maana unaona kuna Emoji mbele....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…