Viongozi wa Simba mashabiki tumetimiza wajibu wetu kununua tiketi zote, tafadhalini sana naomba msituangushe, Yanga wao hadi supu za bure ndio wanajaa

Viongozi wa Simba mashabiki tumetimiza wajibu wetu kununua tiketi zote, tafadhalini sana naomba msituangushe, Yanga wao hadi supu za bure ndio wanajaa

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Msimu uliopita tumekwazika sana, pengine katika maisha yetu ya soka hasa kwa vijana wa kizazi hiki wasioijua simba msimu uliopita tulipoteana sana, sisi ndio tumewafanya Yanga waonekane wako juu kutokana na kuhujumiana, kusalitiana, migogoro ya wenyewe kwa wenyewe nk.

Hata hivyo mambo yote hayo tumesahau kabisa kabisa, tumekubali yaishe na kuanza upya kuiunga mkono timu yetu.Hii ni timu yetu tunayoipenda katika mioyo yetu, hatupati chochote zaidi ya furaha tu.

Wenzetu wako vizuri dimbani lakini uwanjani hawaendi, wanashinda kila mechi, wanacheza soka zuri, wana migogoro lakini haina athari sana kama sisi lakini huwezi kuamini hawataki kwenda uwanjani kuiangalia timu yao.

Sisi pamoja na matatizo yetu wenyewe lakini leo tumefanikiwa kuujaza uwanja.Wao kesho ndio wanaanza mishe mishe kule Mbagala, kwa vyovyote vile mpango na mkakati wao utakuwa kuruhusu watu waingie bure.

Bw.Manara aliyekuwa anajisifu kujaza uwanja ameshindwa kufanya kazi hiyo, utajazaje uwanja kwa kwenda Wasafi fm, sio kila mtu anasikiliza redio, nenda field kawahamasishe mashabiki kama anavyofanya Mashiine ya Kuongea Ahmed Ally.

Hivyo basi nawaomba sana viongozi wangu wa Simba, tuongeze umoja na nguvu ili turudishe heshima yetu.

Shukrani na pongezi sana Ahmed Ally kwa hamasa na kufanikiwa kujaza uwanja.Kweli wewe ni jeshi la mtu mmoja.

Sasa tunahitaji furaha jamani.Msisalitiane, sisi washabiki tumeweka silaha chini na kuwaunga mkono.
 
Yanga washazoea kuingizwa nyuma mwiko bureee...

Hvyo wanasubiri fungulia mbwaa cku ya wananchii
 
mbona mnateseka na mambo yasio wahusu
Simba ni kawaida Yao kutangaza Sold out na siku ya mchezo majukwaa Yana kosa watu kama mwaka Jana, yaani mnajitekenya na kucheka wenyewe.

Bahati nzuri Tff Walisha tolea ufafanuzi kupitia takwimu zao ambazo zinaonyesha Yanga ndio timu inayo ingiza mashabiki wengi viwanjani.
Haijalishi nyumbani Wala ugenini ata msimu ulio isha 2023/2024 ilikua hivyo
 
Msimu uliopita tumekwazika sana, pengine katika maisha yetu ya soka hasa kwa vijana wa kizazi hiki wasioijua simba msimu uliopita tulipoteana sana, sisi ndio tumewafanya Yanga waonekane wako juu kutokana na kuhujumiana, kusalitiana, migogoro ya wenyewe kwa wenyewe nk.

Hata hivyo mambo yote hayo tumesahau kabisa kabisa, tumekubali yaishe na kuanza upya kuiunga mkono timu yetu.Hii ni timu yetu tunayoipenda katika mioyo yetu, hatupati chochote zaidi ya furaha tu.

Wenzetu wako vizuri dimbani lakini uwanjani hawaendi, wanashinda kila mechi, wanacheza soka zuri, wana migogoro lakini haina athari sana kama sisi lakini huwezi kuamini hawataki kwenda uwanjani kuiangalia timu yao.

Sisi pamoja na matatizo yetu wenyewe lakini leo tumefanikiwa kuujaza uwanja.Wao kesho ndio wanaanza mishe mishe kule Mbagala, kwa vyovyote vile mpango na mkakati wao utakuwa kuruhusu watu waingie bure.

Bw.Manara aliyekuwa anajisifu kujaza uwanja ameshindwa kufanya kazi hiyo, utajazaje uwanja kwa kwenda Wasafi fm, sio kila mtu anasikiliza redio, nenda field kawahamasishe mashabiki kama anavyofanya Mashiine ya Kuongea Ahmed Ally.

Hivyo basi nawaomba sana viongozi wangu wa Simba, tuongeze umoja na nguvu ili turudishe heshima yetu.

Shukrani na pongezi sana Ahmed Ally kwa hamasa na kufanikiwa kujaza uwanja.Kweli wewe ni jeshi la mtu mmoja.

Sasa tunahitaji furaha jamani.Msisalitiane, sisi washabiki tumeweka silaha chini na kuwaunga mkono.
Acha uongo Takwimu za bodi ya ligi msimu uliopita Yanga Ndiyo timu ambayo mashabiki wake wamejitokeza kwa wingi uwanjani. Hiyo timu yako inafatata kwa mbaaali. Na ni kwa misimu yote sio ulioisha tu . Rejea Takwimu za bodi ya ligi acha kupotosha.
 
Nyinyi mashabiki wa simba wengi wenu ni mbumbumbu. Na ndiyo maana kwa sasa hatuzisikii tena zile kelele za kumkataa Mangungu!

Badala ya kuongelea masuala ya timu yako; wewe unaijadili supu ya Yanga!
 
Jana mmeandika solidi auti lakini jana usiku around saa tatu hivi nimenunua tiketi ya viaipii B mbili,sijaelewa kwanini mikia mnapenda sifa za kijinga hivi
 
Jana mmeandika solidi auti lakini jana usiku around saa tatu hivi nimenunua tiketi ya viaipii B mbili,sijaelewa kwanini mikia mnapenda sifa za kijinga hivi
Jamaa ni mabingwa wa mambo ya kipuuzi, kumbuka ishu za Manzoki na mkutano wao mkuu.

Kama waliweza Fanya vile katika mkutano mkuu unao husisha wanachama wa Nchi nzima usishangae na Sold out za Mchongo.

Ukifika uwanjani uwanja uko wazi maeneo mengi mpaka Azam Tv Wana anza michongo ya ku kwepesha Camera kwenye Yale ma gape.
 
YANGA Wana machawa weeengi lakini Kwa hamasa hakuna anayemfikia Ahmed Ally. Ni one man show
 
YANGA Wana machawa weeengi lakini Kwa hamasa hakuna anayemfikia Ahmed Ally. Ni one man show
Ahmed Aly hajawahi kuamasisha na kuizidi Yanga kwa kuingiza watu viwanjani , Kabla ya Ahmed Ally na Sasa yupo kama mhamasishaji misimu yote Yanga Ina rekodi ya kuingiza mashabiki wengi viwanjani iwe Nyumbani au Ugenini.

Ni kwa mujibu wa Tahasisi inayo simamia mpira Nchini (TFF)
Simba imekua na tabia ya kujitekenya na kucheka wenyewe na ndio maana siku ya tukio husika uwanja wanao sema Sold out unakua na mapengo kama yote.
 
Ahmed Aly hajawahi kuamasisha na kuizidi Yanga kwa kuingiza watu viwanjani , Kabla ya Ahmed Ally na Sasa yupo kama mhamasishaji misimu yote Yanga Ina rekodi ya kuingiza mashabiki wengi viwanjani iwe Nyumbani au Ugenini.

Ni kwa mujibu wa Tahasisi inayo simamia mpira Nchini (TFF)
Simba imekua na tabia ya kujitekenya na kucheka wenyewe na ndio maana siku ya tukio husika uwanja wanao sema Sold out unakua na mapengo kama yote.
Tatizo unaongelea ushabiki na huongei kwa reality
 
Msimu uliopita tumekwazika sana, pengine katika maisha yetu ya soka hasa kwa vijana wa kizazi hiki wasioijua simba msimu uliopita tulipoteana sana, sisi ndio tumewafanya Yanga waonekane wako juu kutokana na kuhujumiana, kusalitiana, migogoro ya wenyewe kwa wenyewe nk.

Hata hivyo mambo yote hayo tumesahau kabisa kabisa, tumekubali yaishe na kuanza upya kuiunga mkono timu yetu.Hii ni timu yetu tunayoipenda katika mioyo yetu, hatupati chochote zaidi ya furaha tu.

Wenzetu wako vizuri dimbani lakini uwanjani hawaendi, wanashinda kila mechi, wanacheza soka zuri, wana migogoro lakini haina athari sana kama sisi lakini huwezi kuamini hawataki kwenda uwanjani kuiangalia timu yao.

Sisi pamoja na matatizo yetu wenyewe lakini leo tumefanikiwa kuujaza uwanja.Wao kesho ndio wanaanza mishe mishe kule Mbagala, kwa vyovyote vile mpango na mkakati wao utakuwa kuruhusu watu waingie bure.

Bw.Manara aliyekuwa anajisifu kujaza uwanja ameshindwa kufanya kazi hiyo, utajazaje uwanja kwa kwenda Wasafi fm, sio kila mtu anasikiliza redio, nenda field kawahamasishe mashabiki kama anavyofanya Mashiine ya Kuongea Ahmed Ally.

Hivyo basi nawaomba sana viongozi wangu wa Simba, tuongeze umoja na nguvu ili turudishe heshima yetu.

Shukrani na pongezi sana Ahmed Ally kwa hamasa na kufanikiwa kujaza uwanja.Kweli wewe ni jeshi la mtu mmoja.

Sasa tunahitaji furaha jamani.Msisalitiane, sisi washabiki tumeweka silaha chini na kuwaunga mkono.
Tatizo lenu na viongozi wenu ni kuishi maisha ya ujanja ujanja ambayo uwa yanawaferisha sana, na ndiyo ayo yameifikisha Simba apo ilipo kwa sababu ya uongo uongo wa viongozi wenu, njia ya muongo siku zote uwa ni fupi na ndicho uwa kinawaferisha, uongo mwingi uhalisia zero!
Jana kwenye mfumo wa N-Card ulikuwa inaonyesha bado tiketi zipo za kutosha lakini uku kwenye mitandao ya Simba wakatangaza sold out ni ajabu!!!
Msimu uliopita tumekwazika sana, pengine katika maisha yetu ya soka hasa kwa vijana wa kizazi hiki wasioijua simba msimu uliopita tulipoteana sana, sisi ndio tumewafanya Yanga waonekane wako juu kutokana na kuhujumiana, kusalitiana, migogoro ya wenyewe kwa wenyewe nk.

Hata hivyo mambo yote hayo tumesahau kabisa kabisa, tumekubali yaishe na kuanza upya kuiunga mkono timu yetu.Hii ni timu yetu tunayoipenda katika mioyo yetu, hatupati chochote zaidi ya furaha tu.

Wenzetu wako vizuri dimbani lakini uwanjani hawaendi, wanashinda kila mechi, wanacheza soka zuri, wana migogoro lakini haina athari sana kama sisi lakini huwezi kuamini hawataki kwenda uwanjani kuiangalia timu yao.

Sisi pamoja na matatizo yetu wenyewe lakini leo tumefanikiwa kuujaza uwanja.Wao kesho ndio wanaanza mishe mishe kule Mbagala, kwa vyovyote vile mpango na mkakati wao utakuwa kuruhusu watu waingie bure.

Bw.Manara aliyekuwa anajisifu kujaza uwanja ameshindwa kufanya kazi hiyo, utajazaje uwanja kwa kwenda Wasafi fm, sio kila mtu anasikiliza redio, nenda field kawahamasishe mashabiki kama anavyofanya Mashiine ya Kuongea Ahmed Ally.

Hivyo basi nawaomba sana viongozi wangu wa Simba, tuongeze umoja na nguvu ili turudishe heshima yetu.

Shukrani na pongezi sana Ahmed Ally kwa hamasa na kufanikiwa kujaza uwanja.Kweli wewe ni jeshi la mtu mmoja.

Sasa tunahitaji furaha jamani.Msisalitiane, sisi washabiki tumeweka silaha chini na kuwaunga mkono.
 
Tatizo unaongelea ushabiki na huongei kwa reality
Kwani izo takwimu za Tff uwa wanazitoa Yanga? Reality unaitoa wapi wakati Simba uwa Wana tangaza Sold out na kwenye matukio viwanja vinakua vyeupe Sasa tuwa amini Simba au Tff wenye takwimu za Kila mechi!!
 
Tr 9 mangungu ataanza kutajwa tena hatumtaki baada ya pumziko kidogo
 
Msimu uliopita tumekwazika sana, pengine katika maisha yetu ya soka hasa kwa vijana wa kizazi hiki wasioijua simba msimu uliopita tulipoteana sana, sisi ndio tumewafanya Yanga waonekane wako juu kutokana na kuhujumiana, kusalitiana, migogoro ya wenyewe kwa wenyewe nk.

Hata hivyo mambo yote hayo tumesahau kabisa kabisa, tumekubali yaishe na kuanza upya kuiunga mkono timu yetu.Hii ni timu yetu tunayoipenda katika mioyo yetu, hatupati chochote zaidi ya furaha tu.

Wenzetu wako vizuri dimbani lakini uwanjani hawaendi, wanashinda kila mechi, wanacheza soka zuri, wana migogoro lakini haina athari sana kama sisi lakini huwezi kuamini hawataki kwenda uwanjani kuiangalia timu yao.

Sisi pamoja na matatizo yetu wenyewe lakini leo tumefanikiwa kuujaza uwanja.Wao kesho ndio wanaanza mishe mishe kule Mbagala, kwa vyovyote vile mpango na mkakati wao utakuwa kuruhusu watu waingie bure.

Bw.Manara aliyekuwa anajisifu kujaza uwanja ameshindwa kufanya kazi hiyo, utajazaje uwanja kwa kwenda Wasafi fm, sio kila mtu anasikiliza redio, nenda field kawahamasishe mashabiki kama anavyofanya Mashiine ya Kuongea Ahmed Ally.

Hivyo basi nawaomba sana viongozi wangu wa Simba, tuongeze umoja na nguvu ili turudishe heshima yetu.

Shukrani na pongezi sana Ahmed Ally kwa hamasa na kufanikiwa kujaza uwanja.Kweli wewe ni jeshi la mtu mmoja.

Sasa tunahitaji furaha jamani.Msisalitiane, sisi washabiki tumeweka silaha chini na kuwaunga mkono.
Mmemaliza tiketi ila uwanja haujajaa. Ndo kombe pekee la Makolo FC.
 
We n
Jana mmeandika solidi auti lakini jana usiku around saa tatu hivi nimenunua tiketi ya viaipii B mbili,sijaelewa kwanini mikia mnapenda sifa za kijinga hivi
We ndo mjinga unayetaka tukuamini kwamba ticket zipo wakati Viongozi mtandao unakataa
 
Jamaa ni mabingwa wa mambo ya kipuuzi, kumbuka ishu za Manzoki na mkutano wao mkuu.

Kama waliweza Fanya vile katika mkutano mkuu unao husisha wanachama wa Nchi nzima usishangae na Sold out za Mchongo.

Ukifika uwanjani uwanja uko wazi maeneo mengi mpaka Azam Tv Wana anza michongo ya ku kwepesha Camera kwenye Yale ma gape.
Walileta international elections observer 😀😀
 
We n

We ndo mjinga unayetaka tukuamini kwamba ticket zipo wakati Viongozi mtandao unakataa
Asante bora mm mjinga niliyepata tiketi kuliko unaeshangilia kama zuzu hujui hata dunia ilipo wala iendako........
 
We n

We ndo mjinga unayetaka tukuamini kwamba ticket zipo wakati Viongozi mtandao unakataa
Na m-qoute @Kiprotch mbumbumbu mwenzio niliyemnunulia ticket na kesho jioni atawasili mjini kwaajili ya mechi......we endelea kulinda ngedere huko wasile mazao
 
Back
Top Bottom