Viongozi wa timu ya Simba na Waandishi washindwa kupanda Mlima Kilimanjaro

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
10,392
Reaction score
15,948
Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---

Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi πŸŽ’ kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.

Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.

 
Hii taarifa mbona msemaji wa simu alishasema tangu Jumatatu Mkuu.Tena alippst kwenye account yake ya Insta akielezea safari nzima juu ya safari ya kuelekea Kileleni na juu ya utambulishaji.
Unatambulishiwaje jezi na wapanda mlima?

Hakuna kiongozi top hata mmoja mwenye uwezo wa kupanda Mlima Kilimanjaro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…