Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh 😂😂😂 watoto wa mjini pumzi imekataJezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---
Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi 🎒 kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.
Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.
View attachment 2693475
Nafikiri lengo kuu la kuzindua jezi kwenye kilele cha mlima ni marketing. Na wamefanikiwa kuitangaza kwa mawanda mapana sana na level ya kimataifa....Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---
Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi [emoji309] kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.
Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.
View attachment 2693475
Kupanda ule mlima sio rahisi kama mmavyodhani, labda wakwee chopa hao viongozi...Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---
Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi 🎒 kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.
Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.
View attachment 2693475
Hakuna kiongozi yeyote simba aliyesema lazima afike kileleni mkuu, wao wanataka jezi yao kwa mara ya kwanza itambulishwe kule. Kumbukeni kuna watz wamepata kibarua kwa kazi hii ya kupandisha jeziWalidhani kupanda Kilimanjaro ni kama kupanda mwinuko wa Kazimzumbwi.
Hicho kibegi wala ndani hakuna jezi yupo ngumu mmoja kabeba mzigo wakutambulisha..wafike na kibegi kileleni wafungue ndani hamna kitu na camera zinamulika,tutaweka wapi hizi sura zetu za mbuzi!
Kwa hiyo jamaa wao wamerudi mjini kupiga bia🥱🥱Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---
Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi 🎒 kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.
Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.
View attachment 2693475
Acha utaniViongozi nao wangepanda mbona sio kazi sana wangezindua jezi yao pamoja