Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitegemea ubunifu kwa mbumbumbuKulikuwa na ulazima? Naona ubunifu wa kijinga tu
HahahahaUnatambulishiwaje jezi na wapanda mlima?
Hakuna kiongozi top hata mmoja mwenye uwezo wa kupanda Mlima Kilimanjaro?
Mo anataka kuulia watu Mlimani humo ili waache kumwandamaJezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---
Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi [emoji309] kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari. [emoji558]
Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.
View attachment 2693475
Vipi matokeo ya mechi ya majaribio huko Uturuki ?Hili la Kibegi Utopolo limewauma sana...yaani watu ukiwawekea habari ya Kibegi na Siku ya Utopolo wanachagua KibegiView attachment 2693872
Wamemshtukia...🤣🤣🤣Mo anataka kuulia watu Mlimani humo ili waache kumwandama
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Maajabu kibegi cha Simba kinapelekwa na Magaidi wa Yanga.Hili la Kibegi Utopolo limewauma sana...yaani watu ukiwawekea habari ya Kibegi na Siku ya Utopolo wanachagua KibegiView attachment 2693872
Hawa kweli walistahili kuitwa mbumbumbu! Maana siyo kwa ujinga huu.Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---
Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi 🎒 kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.
Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.
View attachment 2693475
hao watakaopanda nao wafie njiani kibegi kipoteeJezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---
Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi 🎒 kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.
Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.
View attachment 2693475
Si wakodi ata boda boda jamani wafike mpk juu.Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---
Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi [emoji309] kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.
Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.
View attachment 2693475