Viongozi wa timu ya Simba na Waandishi washindwa kupanda Mlima Kilimanjaro

Viongozi wa timu ya Simba na Waandishi washindwa kupanda Mlima Kilimanjaro

Walifikiri watu wanajiendea tu bila matayarisho?

Walitakiwa waingie kambi miezi mitatu. Walifikiri lelemama hiyo?

Washazowea Dar hao, hapa na pale gari.
Si mchezo.
BTW let us try it ONe day
 
Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---

Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi [emoji309] kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari. [emoji558]

Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.

View attachment 2693475
Mo anataka kuulia watu Mlimani humo ili waache kumwandama

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilitegemea kumwona ahmed ally pale uhuru peak[emoji1787]

Mbwembwe!! Kibao wameishia njiani halafu ngoja tuone hizo jezi zitakuaje. Wahuni/wafanyabiashara wa kariakoo hawawezi kukupa vitu quality [emoji28]
 
Hili la Kibegi Utopolo limewauma sana...yaani watu ukiwawekea habari ya Kibegi na Siku ya Utopolo wanachagua Kibegi
F1aUg4eWcAUyJwg.jpg
 
Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---

Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi 🎒 kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.

Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.

View attachment 2693475
Hawa kweli walistahili kuitwa mbumbumbu! Maana siyo kwa ujinga huu.
 
Hao hata Kupiga pasi au danadana hawajui ,ipo haja sekta hizi ziendeshwe na 50% watu waliopitia soka
 
Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---

Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi 🎒 kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.

Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.

View attachment 2693475
hao watakaopanda nao wafie njiani kibegi kipotee
 
Walienda kufanyaje Marangu?
 

Attachments

  • 20230720_120905.jpg
    20230720_120905.jpg
    489.1 KB · Views: 1
Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---

Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi [emoji309] kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari.

Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.

View attachment 2693475
Si wakodi ata boda boda jamani wafike mpk juu.
 
Back
Top Bottom