Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibiashara wamefanikiwa sana kuvutia wateja wao. Hamu imeongezeka maradufu kusubiri jezi. Hapa ulikuwa mkakati wa Kisoko zaidi.
Mount kilimanjaro ni kilima nyege kama una nyege mshindo huendi mahala popoteWalidhani kupanda Kilimanjaro ni kama kupanda mwinuko wa Kazimzumbwi.
Mkimpata Genta nishitueni.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aione genta tafadhali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wa PWANI wanadhani kupanda mlima Kilimanjaro ni kama kukaa kwenye ghahawa vijiweni na misuli wakipasha mabusha yao.
Yaani Simba kuzindua jezi zake mlima kilimanjaro nayo ni kwaajili ya kuwakomoa Yanga??Kutaka kufanya mambo yasiyo ndani ya uwezo wao ili kuwakomoa yanga
Genta aliwatisha. Akisema viongozi hao wakifika kule kileleni na zile vyanya 2 zitaganda.Wakodi HEDIKOPTA kwenda kileleni si Wana hela. Kunatouti Gani na wale wapanda milima walioweka jezi ya Yanga mpya pale kileleni? Zoezi lingenoga km Ahmed ally na Amani kajura wangefika gilmans point na kuzindua.
Shida kumkomoa YangaKulikuwa na ulazima? Naona ubunifu wa kijinga tu
AahaaaaGenta aliwatisha. Akisema viongozi hao wakifika kule kileleni na zile vyanya 2 zitaganda.
Na Kama mlima ushawashindwa hivi,mtaweza kupanda msimamo wa Ligi kweli nyie,aahaaaaWamezingua sana.
Walifikiri watu wanajiendea tu bila matayarisho?Jezi kwenda kuzinduliwa bila Kiongozi wa Simba, Inakuwaje?
---
Baada ya kufika kituo cha Kisambionyi uongozi wa Simba umekabidhi kibegi 🎒 kwa timu maalum ya wapanda milima ambao ni mashabiki wa Simba kuendelea na safari. 🗻
Viongozi na waandishi wa habari wameshuka wapanda mlima wanaendelea.
View attachment 2693475