Resurrection
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 952
- 1,267
Bora adui mwerevu kuliko rafiki mjinga.Hawa weusi ni wabaya sana sanaaaaa.Hawa wakoloni weusi ni wabaya kuliko hata weupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora adui mwerevu kuliko rafiki mjinga.Hawa weusi ni wabaya sana sanaaaaa.Hawa wakoloni weusi ni wabaya kuliko hata weupe
Hatari na nusuBora adui mwerevu kuliko rafiki mjinga.Hawa weusi ni wabaya sana sanaaaaa.
Hukumu ya anayeua ni kunyongwa siyo kuwekwa jela miaka 9 na kuachiwaWasirudie tena ule ujinga!
Ole wao tuanze kusikia mapadiri wanauawa tena
Duh wewe unafaa upigwe risasi ya mkuxxxxxduIli faa wanyongwe
Haki uinua taifa.Nchi ni masikini kwa sababu ya laana za kuwaonea watu, unamuweka ndani binadamu mwenzio miaka 8 bila ushahidi ushamuharibia future yake kizembe tuMwenye maelekezo ya kidhalimu kutokea juu yuko busy na malaika.
Hapa sasa mdogo mdogo mwendo wa haki bin haki.
Haki uinua taifa.Nchi ni masikini kwa sababu ya laana za kuwaonea watu, unamuweka ndani binadamu mwenzio miaka 8 bila ushahidi ushamuharibia future yake kizembe tu
Kwani walikamatwa saa ngapi?kwa nini watolewe usiku. Ni vyema wakatolewa mbele ya Mahakama saa za kazi.
Gerezani miaka zaidi ya minane bila kesi kusikilizwa!!??Tuombe Allah kuwa walioachiwa sio magaidi. Lakini nashangaa sana wanaolalamika kuwa wamekukaa rumande muda mrefu, as iff ni wao tu ndio wameka rumande muda mrefu na hakuna wengine, na wanalalamika asi if serikali imewaweka kizuizini bila sababu yoyote. Kama serikali ingeweka kila kitu hadharani kutokana na habari za kiitenijensia ilizonazo nadhani maoni ya watu yangekuwa tofauti kabisa.
Kesi ya madai serikali itachukua miaka7Sasa watafute Wakili mzuri wadai fidia ili angalao wanunue Boti za Uvuvi.
Uzuri wake aliyewaweka ndani no muislam mwenzao hii inaondoa dhana potofu kwenye jamii ambayo ingeweza kuvunja umoja wetu.
Daah! halafu ndio waitwe waahidiwe Usheha😁Kesi ya madai serikali itachukua miaka7
Sabaya bashite awakuwaza kuboresha magereza Ili kesho yawafae.Mimi wwe ni wafungwa watarajiwaKuna mi mbumbumbu ambayo piga ua yanaona ni sawa kwa vile tu, hii kwao leo haiwahusu. Ubinafsi wa namna gani huo?
Tueleze mkuu,wengine hatujui?Hivi mnajua walichokifanya hawa wanaojiita mashehe hadi kuwalililia?
Unajua mazingira yaliyopelekea Hawa masheikh kuwekwa kizuizini yalikuwa tatanishi sana pia tuhuma zao zimekuwa kama za uonevu .Sina hakika ukristo, ubaniyani, upagani, uislam, nk unakuja vipi katika hili.
Nakazia: haki huinua taifa. Dhana hii tulikuwa tumeikosa kwa muda mrefu.