Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WalipweUkatili mbaya sana wamefanyiwa hawa watu.
Huyo jamaa mpuuzi sana kila kitu kibaya anamhusisha Magufuli kwa yeye hajui kuwa walikamatwa wakati wa Kikwete.Roho ya kishetani na chuki za kipumbavu hazitakufikisha popote,au umesahau ni lini walikamatwa na kwa kosa gani na wapi? Acho domo zege na chuki za kishetani.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Watolewe wengine wengi waliko huko jelaKwa hiyo yeye hakuona umuhimu wa kuwatendea haki kama tu aliokuwa akiwabambikizia kesi zikiwamo za uhujumu uchumi na madawa ya kulevya?
Akili za kushikiliwa ni ngumu mno kujielewa.
Uonevu upo, walionewa tu lakini ushahidi wa kuwahukumu haukuwepoMbona kama wameshafungwa tu mkuu. Miaka 9 si ni kifungo tosha kabisa mkuu
Kunywa maji utulize kuhemkwa maana unachojibu hakina hata uhusiano ili mradi umehemkwaNa unadhani unayo hati miliki peke yako, ya uliyoyasema na hudhani kuwa yanaweza hata ku apply kwa watu wengine.
Hiiiiii bagosha! Mbona madogo yana nafuu!
Kuna makabila fulani fulani husemekana kuwa na hulka kama zako mkuu. Huenda ukawa ni mmoja wao.
shwainnn kwani mwanzo walikuwa wanapambana na mumeo?Oh...vizuri...sasa watulie wapambane na mambo ya imani na familia Zao
Nenda high court kathibitishe ugaidi wao, maana miaka Tisa Sasa mnatafutwa mashaidi hamuendiWagogo wanawakimbiza pale bungeni huoni!! Bora kuwa mgogo kuliko gaidi
Wewe ndo mpumbavu sana unafikiri serkali inafanya mambo kwa mihemko, umejaa udini tu kisa cha kumlaumu Magufuli kipi hapo? Kama ni magaidi serkali itatenda haki, nyie miaka yote ni kulialia tu.Roho ya kishetani na chuki za kipumbavu hazitakufikisha popote. Au umesahau wameshikiliwa zaidi katika kipindi cha nani?
Huyo aliyekuwa madarakani hakusikia kabisa kilio chao wala kutambua kuwa walistahili haki? Au alisubiri hadi arejee Kikwette ndipo watendewe haki?
Acha domo zege na roho za kishetani mburula wewe!
Sasa kwanini hamjawatoa uhai waliowakamata miaka yote hiyo?Siku zako zinahesabika wewe ,nina uhakika unapoteza maisha kabla ya mwezi huu kumaliza maradhi ni yaleyale ya tatizo la kupumuwa.,wanaokujua wataleta taarifa hapa.
Kunywa maji utulize kuhemkwa maana unachojibu hakina hata uhusiano ili mradi umehemkwa
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Je? mzee Rugemalila na Singa singa wana nywele bandia?Hizo picha ni za zamani, Sababu mtu alietoka jela jana hawezi fuga NDEVU kwa siku moja na zikastawi hivyo!
Shekhe mkuu ni pandikizi la watawala. Kwake yeye maulidi ni muhimu kuliko haki za waislamu. Ndo maana system inataka shekhe mkuu/ mufti awe amesoma Quran tu asijue lolote la hapa duniani.Vipi Sheikh mkuu nasikia ndio Mtetezi wao au
Muulize babu sea aliachiwa na nani.Roho ya kishetani na chuki za kipumbavu hazitakufikisha popote. Au umesahau wameshikiliwa zaidi katika kipindi cha nani?
Huyo aliyekuwa madarakani hakusikia kabisa kilio chao wala kutambua kuwa walistahili haki? Au alisubiri hadi arejee Kikwette ndipo watendewe haki?
Acha domo zege na roho za kishetani mburula wewe!
Baada ya miaka karibu ya Kumi ya dhulma unyanyasaji usio wa haki uliokuwa unafanywa na wakoloni wanaotutawala dhidi ya ndugu zetu wasio na hatia Leo kwa mara ya kwanza baada miaka Kumi wameweza kuungana na familia zao na kunusa harufu ya Hewa Safi
Jee wakoloni watawapa fidia ya DHULMA waliowafanyis?
Tusubiri