Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kwahiyo JK yuko busy na malaika?Mwenye maelekezo ya kidhalimu kutokea juu yuko busy na malaika.
Hapa sasa mdogo mdogo mwendo wa haki bin haki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo JK yuko busy na malaika?Mwenye maelekezo ya kidhalimu kutokea juu yuko busy na malaika.
Hapa sasa mdogo mdogo mwendo wa haki bin haki.
Tusubiri Magazeti ya kesho tutajua ukweliKuna habari zinasambaa kuwa viongozi wawili wameachiwa na wapo huru.
Habari zaidi zinasema mmoja wa viongozi hao ameoneka kwenye picha akiwa na Familia, mwenye taarifa zaidi plz.
Wewe kinachokusumbua ni hiyo mimba aliyokuachia mwenda zake! Ukijfungua utakuwa poa tu!Lakini wakashikiliwa kipindi chote cha mwendazake.
Au nasema uongo ndugu yangu?
Wasirudie tena ule ujinga!Ushahidi wa kuwafunga hawa watu ulikuwa haupo, afadhali wameachiwa
Point to quoteTusubiri taarifa sahihi ya Shelh Ponda ambaye amekuwa akiwatetea miaka yote bila unafiki
Hizo picha ni za zamani, Sababu mtu alietoka jela jana hawezi fuga NDEVU kwa siku moja na zikastawi hivyo!
Wasirudie tena ule ujinga!
Ole wao tuanze kusikia mapadiri wanauawa tena
kosa lau kusema Zanzibar ni NchiKwani kosa Lao hasa ni nn
Huyo jamaa mpuuzi sana kila kitu kibaya anamhusisha Magufuli kwa yeye hajui kuwa walikamatwa wakati wa Kikwete.
Walipewa kesi ya ugaidi.hivi kesi yao ilikuwa ni nini ? samahan kwa usumbufu
We ni Mungu?yaani unaropoka Kana kwamba umamlaka na uhai wangu.....hata wewe unaweza usitoboe mwezi huu ....au wewe unabima ya miaka 300?Siku zako zinahesabika wewe ,nina uhakika unapoteza maisha kabla ya mwezi huu kumaliza maradhi ni yaleyale ya tatizo la kupumuwa.,wanaokujua wataleta taarifa hapa.
Utajua baadae kama wakianza kuuawa tenaWw nan nchi hiii????
NotedPoint to quote
Wewe endelea na upumbavu unafikiri miaka yote hiyo waliowashikiria hawana akili.
Mungu ibariki UamshoKuna habari zinasambaa kuwa viongozi wawili wameachiwa na wapo huru.
Habari zaidi zinasema mmoja wa viongozi hao ameoneka kwenye picha akiwa na Familia, mwenye taarifa zaidi plz.
Sasa watafute Wakili mzuri wadai fidia ili angalao wanunue Boti za Uvuvi.Haki haipotei bali huchelewa tu.
Fidia ya nyokwe ...Sasa ndio kesi inaanza ili wafungweSasa watafute Wakili mzuri wadai fidia.
Kweni wako nje kwa Dhamana?Fidia ya nyokwe ...Sasa ndio kesi inaanza ili wafungwe