Sina mamlaka ya kuwajibia marehemu.
Porojo sio sehemu ya maisha yangu, kukamatwa akili kimihemko sio asili yangu
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Na unadhani unayo hati miliki peke yako, ya uliyoyasema na hudhani kuwa yanaweza hata ku apply kwa watu wengine.
Hiiiiii bagosha! Mbona madogo yana nafuu!
Kuna makabila fulani fulani husemekana kuwa na hulka kama zako mkuu. Huenda ukawa ni mmoja wao.