Viongozi wa Uamsho wapo huru?

Viongozi wa Uamsho wapo huru?

Status
Not open for further replies.
Tuombe Allah kuwa walioachiwa sio magaidi. Lakini nashangaa sana wanaolalamika kuwa wamekukaa rumande muda mrefu, as iff ni wao tu ndio wameka rumande muda mrefu na hakuna wengine, na wanalalamika asi if serikali imewaweka kizuizini bila sababu yoyote. Kama serikali ingeweka kila kitu hadharani kutokana na habari za kiitenijensia ilizonazo nadhani maoni ya watu yangekuwa tofauti kabisa.
Kama serikali inajua kuna mabaya walifanya kwanini wasihukumiwe kama Kweli wanahatia
 
Tuombe Allah kuwa walioachiwa sio magaidi. Lakini nashangaa sana wanaolalamika kuwa wamekukaa rumande muda mrefu, as iff ni wao tu ndio wameka rumande muda mrefu na hakuna wengine, na wanalalamika asi if serikali imewaweka kizuizini bila sababu yoyote. Kama serikali ingeweka kila kitu hadharani kutokana na habari za kiitenijensia ilizonazo nadhani maoni ya watu yangekuwa tofauti kabisa.
Wengine waliokaa ndani miaka 9 bila kesi zao kutajwa ni akina nani, wataje wasaidiwe
 
Baada ya miaka karibu ya Kumi ya dhulma unyanyasaji usio wa haki uliokuwa unafanywa na wakoloni wanaotutawala dhidi ya ndugu zetu wasio na hatia Leo kwa mara ya kwanza baada miaka Kumi wameweza kuungana na familia zao na kunusa harufu ya Hewa Safi

Jee wakoloni watawapa fidia ya DHULMA waliowafanyis?
Tusubiri
Ila watahadharishee..wakianza yale mahubir yao ya alshababii, hizbollah na Hamas wanarudi ndani asubuh kweupeee..hatutaki upuuz puuz kwenye nchi yenye kila aina ya dini..huku wengine wakijipambanua kuwa dini yao ndio ina haki na kutaka sharia itawale hata wale ambao haiwahusu..
kwa nini ulazimishe mungu wako aabudiwe na wengine, tena kwa bakora au kwa kulipuliwa mabomu?
Kama mnataka hivyoo nendeni sayar ya mars anzisheni taifa lenu mkajitawalee mtakavyoo..
Fullstop
 
Wakirudi mtaani wajirekebishe waachane na fikira zao za zamani. Saivi Znz tuna amani waheshimu serijali iliyopo
 
Tuombe Allah kuwa walioachiwa sio magaidi. Lakini nashangaa sana wanaolalamika kuwa wamekukaa rumande muda mrefu, as iff ni wao tu ndio wameka rumande muda mrefu na hakuna wengine, na wanalalamika asi if serikali imewaweka kizuizini bila sababu yoyote. Kama serikali ingeweka kila kitu hadharani kutokana na habari za kiitenijensia ilizonazo nadhani maoni ya watu yangekuwa tofauti kabisa.
Ebu tusaidie kutujilisha ili tupate kufaham
 
ni vizuri aisee, kwa maana wameteseka sana watanzania wenzetu,bora waungane na familia zao, Tanzania hakuna ugaidi Wala upuuzi wa ugaidi, Nchi yetu Ni Taifa lenye amani, amani ambayo Ni zao la umadhubuti wa vyombo vyetu vya ulinzi, na sisi wenyewe pia kiasili si watu wa Shari
Hakuna watanzania wenye sura kama zilee..wale ni walowezi tuu wa oman, yemeni na kwinginekoo..
 
ni vizuri aisee, kwa maana wameteseka sana watanzania wenzetu,bora waungane na familia zao, Tanzania hakuna ugaidi Wala upuuzi wa ugaidi, Nchi yetu Ni Taifa lenye amani, amani ambayo Ni zao la umadhubuti wa vyombo vyetu vya ulinzi, na sisi wenyewe pia kiasili si watu wa Shari
Labda sheghee pondaa ndo mtanzania..
 
Tuombe Allah kuwa walioachiwa sio magaidi. Lakini nashangaa sana wanaolalamika kuwa wamekukaa rumande muda mrefu, as iff ni wao tu ndio wameka rumande muda mrefu na hakuna wengine, na wanalalamika asi if serikali imewaweka kizuizini bila sababu yoyote. Kama serikali ingeweka kila kitu hadharani kutokana na habari za kiitenijensia ilizonazo nadhani maoni ya watu yangekuwa tofauti kabisa.
Taarifa za kiintelijensia ambazo wameshindwa kuwafikisha nazo mahakamani kwa miaka tisa?
 
Miaka 9 bila kuhukumiwa ni muda mrefu.

Hopefully hawa sio wale waliokuwa wakichinja/wakihamashisha baadhi ya watu kuchinja wenzao na kuchoma makanisa na huu upuuzi hautajirudia tena
Kwani kuna wengine zaidi ya hawa!?
 
Hawa ndo wanaleta ugaidi....wakitoka na amani inatoweka...wanaroho za kishetani.....hawakutakiwa kuwa hai Hawa mashekh wa uamsho....ni mawakala wa shetani....nashauri wanyongwe
 
hao wamefungwa kisiasa ,Ni wafungwa wa kisisiasa na fuatilia mikutano yao yote ,waliwazidi kete vyama vyote vya siasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom