Viongozi wa Yanga huwa wanakabidhi akili zao kwa nani?!

Viongozi wa Yanga huwa wanakabidhi akili zao kwa nani?!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
0ba3fe95886d451fbdb6d0c993f4ff71_338764525_147201271624933_6428566069912712932_n.jpg

26cddd9161dd4942b923f8fa8021ff67_339490322_179730941551446_3519667058771965932_n.jpg
Screenshot_20230403-080452_Gallery.jpg


Nawaambieni kweli, hawa wanaoropoka humu Juwaani sio watu wadogo. Baadhi ni viongozi kule Utopolo
 
Nishaanza kucheka asubuhi yote hii😂😂😂😂
 
Lengo lao unajua ni nn
Kwani wakati kolo anafkisha point 13 makundi manara c alikuwepo huko na alikuwa fronti
Attention tu
 
CPA holder unashindwa kutofautisha watendaji na viongozi?.

Privaldinho na Manara sio viongozi wa Yanga.

Viongozi wa Yanga ni CEO,wale wajumbe watano,Vice President na President mwenyewe.
Mwongo wewe, mbona ali kamwe anajiita kiongozi. Pale utopolo kila mwenye namba ya simu ya hersi ni kiongozi
 
Kwa hiyo huyo Haji Manara na huyo Privaldinho ndiyo Viongozi wa Yanga? Kweli aliyewaita mbumbumbu hakukosea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee Sope unamchukia na humpendi kabisaa, nilitegemea utafurahiaa.

Khaaaaaaah
 
Back
Top Bottom