Viongozi wa Yanga SC ni muda wenu sasa kutoa ufafanuzi kwa mashabiki kwa nini Pacoume hachezi na wakati alishapona majeraha

Viongozi wa Yanga SC ni muda wenu sasa kutoa ufafanuzi kwa mashabiki kwa nini Pacoume hachezi na wakati alishapona majeraha

Caren ongezaa manjonjo na ufundi kwa huyo Pacomee, tenaa mpe limbwataa awee zezetaa na atangazee kustaafu soka kabisa, nipo tayari kukupa limbwata konkiiiii.

Namchukia huyo Pacomee km ninii, yaan bora asipone mazima hayo majeruhi yake. Mxxxiiiiieeeeew!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Caren ongezaa manjonjo na ufundi kwa huyo Pacomee, tenaa mpe limbwataa awee zezetaa na atangazee kustaafu soka kabisa, nipo tayari kukupa limbwata konkiiiii.

Namchukia huyo Pacomee km ninii, yaan bora asipone mazima hayo majeruhi yake. Mxxxiiiiieeeeew!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na juzi hakuwepo. 😁
 
Kuna shabiki anayelipia mishahara wachezaji? Hayo ni majukumu ya viongozi wewe tulia usubirie soka zuri uwanjani na matokeo mazuri uwanjani. Hayo mengine kama shabiki hayakuhusu.
huyo jamaa kapigwa ban ya fifa viongozi wenu hawataki kuweka wazi wana fichaficha
 
Pacoume ni moja kati ya mchezaji pendwa katika kikosi cha Yanga SC, siyo pendwa kwa kocha bali hata kwa mashabiki kutokana na kipaji chake cha kusakata kabumbu .

Cha kushangaza kumetokea sintofahau kila kukicha msemaji wa yanga Ally kamwe ansema kuwa Pakome yupo tayali na ni mzima wa afya lakini kila yanga wakicheza hata kwenye SUB au benchi jina lake halipo kabisa.

SWALI; je Yanga Sc kuna kitu kipo nyuma ya pazia juu ya Pacoume kinachofanya asicheze??
na kama hakuna mbona kupitia msemaji wa Yanga SC anadanganya mashabiki kuwa kocha ndiyo ana maamuzi ya kumchezesha ila hali yake ipo salama na kocha hamchezeshi??

Viongozi wa Yanga Sc mnapaswa kutolea ufafanuzi juu ya mchezaji Pacome na siyo kuwaeleza mashabiki maneno ya propaganda kama aliiomba dakika 20 kwenye dabi na kocha alimnyima mara Pakome yupo safi kiafya sasa mashabiki wanashindwa kuelewa kwa uzushi wa propaganda huo.
Kwani timu haipati ushindi? Mnapenda chokochoko, mchezaji mgonjwa mnataka acheze vipi. Acheni apone vizuri, mwisho wa siku anacheza mechi mbili anaumia.
 
Hilo swali ulilouliza ungekuwa unaakili zaidi kama ungejiuliza kwanini wanapotaka kumuuza mchezaji hawakusanyi maoni kwa mashabiki. Shabiki ana mipaka yake kwenye swala la mpira sio kila kitu kitakuwa wazi kwa shabiki
nimegundua kuwa huna hoja kama ungekua una hoja ungejikita katika hoja niliyoiwasilisha hapo
 
Caren ongezaa manjonjo na ufundi kwa huyo Pacomee, tenaa mpe limbwataa awee zezetaa na atangazee kustaafu soka kabisa, nipo tayari kukupa limbwata konkiiiii.

Namchukia huyo Pacomee km ninii, yaan bora asipone mazima hayo majeruhi yake. Mxxxiiiiieeeeew!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
lazima umuombee njaa maana aliwanyoosha kisawa sawa
 
Back
Top Bottom