NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #41
ripoti yupo salama kabisa ni jukumu la kocha kumchezesha kwa maelezo ya ally kamweKwani ripoti ya Daktari inasemaje? Kama hujasikia basi ni majeruhi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ripoti yupo salama kabisa ni jukumu la kocha kumchezesha kwa maelezo ya ally kamweKwani ripoti ya Daktari inasemaje? Kama hujasikia basi ni majeruhi.
angalia title ya kichwa cha habri inasema viongozi waje kutoa ufafanuzi hatutaki za ndaniKumbe tayari una majibu yako, sasa hapa unalalamika nini?
Hayo maneno ally kamwe kayasema lini?ripoti yupo salama kabisa ni jukumu la kocha kumchezesha kwa maelezo ya ally kamwe
kwa nini hachezi kucheza ,mazoezini siyo shda vipi kuhusu mechiUkibahatika nenda hapo avic town uone anachokifanya pacome akiwa mazoezini kisha ndio uje humu kuandika uzi
Kama hachezi vizuri mazoezini kwanini apangwe?kwa nini hachezi kucheza ,mazoezini siyo shda vipi kuhusu mechi
Atacheza vipi wakati alikuw bado yupo kwenye special program? We jamaa vipi? Unajua mpira lakini wew? Ndio week imekamilika toka aanze kuingizwa kweny full trainingkwa nini hachezi kucheza ,mazoezini siyo shda vipi kuhusu mechi
Kambi ya Fisi anawaita kikundi cha wahuni Pacome, Yaoyaw na Aucho 😂🤣🤣Maisha ni haya haya
Wewe ndio hauna hoja unataka kuwapangia watu wafanye unachojisikia wewe, na sio mara ya keanza kuleta uzi wa hisia zako. Ulileta uzi kumpangia Gamondi kutowapanga wakina Moloko, Ngushi, Sureboy na Farid Musa na wengineonimegundua kuwa huna hoja kama ungekua una hoja ungejikita katika hoja niliyoiwasilisha hapo
Mbona ngusbi anakula mshahara wa bure, nkane, kibwana, makudubela hao wote wanakula mshahara wa bure lakini hujaomba ufafanuzikwa hiyo unataka ale mshahara wa bure
kwani huwaoni uwanjani hao unaowataja mkuu unapaswa kujikita kwenye hojaMbona ngusbi anakula mshahara wa bure, nkane, kibwana, makudubela hao wote wanakula mshahara wa bure lakini hujaomba ufafanuzi
Pacome yuko wapi?Ishu kubwa ni timu kupata matokeo mazuri haijalishi nani yupo na nani hayupo. Nyie ni shabiki wa mchezaji au ni shabiki wa timu?
Mechi ijayo mnakutana naye. Labda msiingize timu uwanjani. 😁Yaan angekuwepo huyo mbwaa, mbona tungeoga mengii, namchukia km nn. [emoji23][emoji23][emoji23]
Bora asiponee kabisaa hayo majeruhi yake, anakeraaa hatariiii.
Kwani pacome humuoni uwanjani mkuu au kutokucheza mechi za hapa karibuni unaona ni shida. Makudubela zilipita mechi ngapi hakucheza, kibwana na ngushi zilipita mechi ngapi hawakucheza na haukuomba ufafanuzi. Metacha Manata aliaminiwa kuliko mshery mbona hukuomba ufafanuzi wa mshery.kwani huwaoni uwanjani hao unaowataja mkuu unapaswa kujikita kwenye hoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheka kwa afya mkuu.Imebidi nicheke tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hayo majeruhi haponii kamwee.lazima umuombee njaa maana aliwanyoosha kisawa sawa
[emoji23][emoji23][emoji23] haponii majeruhi huyoo, hiyo ndo bas nitolee mazimaa.Mechi ijayo mnakutana naye. Labda msiingize timu uwanjani. [emoji16]
haya mganga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hayo majeruhi haponii kamwee.