Na juzi hakuwepo. 😁Caren ongezaa manjonjo na ufundi kwa huyo Pacomee, tenaa mpe limbwataa awee zezetaa na atangazee kustaafu soka kabisa, nipo tayari kukupa limbwata konkiiiii.
Namchukia huyo Pacomee km ninii, yaan bora asipone mazima hayo majeruhi yake. Mxxxiiiiieeeeew!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan angekuwepo huyo mbwaa, mbona tungeoga mengii, namchukia km nn. [emoji23][emoji23][emoji23]Na juzi hakuwepo. [emoji16]
Kuna shabiki anayelipia mishahara wachezaji? Hayo ni majukumu ya viongozi wewe tulia usubirie soka zuri uwanjani na matokeo mazuri uwanjani. Hayo mengine kama shabiki hayakuhusu.kwa hiyo unataka ale mshahara wa bure
Nafikiri ni yeye ndio maana wapo kimya.Au ni ishu ya ile transfer fee ban ya fifa inamhusu yeye ?
kweli kabisa mkuu hawa wanaficha ficha hakuna cha kuumwa wala niniNafikiri ni yeye ndio maana wapo kimya.
Ishu kubwa ni timu kupata matokeo mazuri haijalishi nani yupo na nani hayupo. Nyie ni shabiki wa mchezaji au ni shabiki wa timu?Kwani akiwepo hatutapata matokeo?
huyo jamaa kapigwa ban ya fifa viongozi wenu hawataki kuweka wazi wana fichafichaKuna shabiki anayelipia mishahara wachezaji? Hayo ni majukumu ya viongozi wewe tulia usubirie soka zuri uwanjani na matokeo mazuri uwanjani. Hayo mengine kama shabiki hayakuhusu.
mbona wanapowatambulisha wanatuonesha mashabiki, wewe ni shabiki au mpoiga domoIshu kubwa ni timu kupata matokeo mazuri haijalishi nani yupo na nani hayupo. Nyie ni shabiki wa mchezaji au ni shabiki wa timu?
Kwahiyo wakiweka wazi wewe itakusaidia kipi? Yanga ni taasisi sio kila kitu ni cha kukiweka wazi.huyo jamaa kapigwa ban ya fifa viongozi wenu hawataki kuweka wazi wana fichaficha
Hilo swali ulilouliza ungekuwa unaakili zaidi kama ungejiuliza kwanini wanapotaka kumuuza mchezaji hawakusanyi maoni kwa mashabiki. Shabiki ana mipaka yake kwenye swala la mpira sio kila kitu kitakuwa wazi kwa shabikimbona wanapowatambulisha wanatuonesha mashabiki, wewe ni shabiki au mpoiga domo
Kwani timu haipati ushindi? Mnapenda chokochoko, mchezaji mgonjwa mnataka acheze vipi. Acheni apone vizuri, mwisho wa siku anacheza mechi mbili anaumia.Pacoume ni moja kati ya mchezaji pendwa katika kikosi cha Yanga SC, siyo pendwa kwa kocha bali hata kwa mashabiki kutokana na kipaji chake cha kusakata kabumbu .
Cha kushangaza kumetokea sintofahau kila kukicha msemaji wa yanga Ally kamwe ansema kuwa Pakome yupo tayali na ni mzima wa afya lakini kila yanga wakicheza hata kwenye SUB au benchi jina lake halipo kabisa.
SWALI; je Yanga Sc kuna kitu kipo nyuma ya pazia juu ya Pacoume kinachofanya asicheze??
na kama hakuna mbona kupitia msemaji wa Yanga SC anadanganya mashabiki kuwa kocha ndiyo ana maamuzi ya kumchezesha ila hali yake ipo salama na kocha hamchezeshi??
Viongozi wa Yanga Sc mnapaswa kutolea ufafanuzi juu ya mchezaji Pacome na siyo kuwaeleza mashabiki maneno ya propaganda kama aliiomba dakika 20 kwenye dabi na kocha alimnyima mara Pakome yupo safi kiafya sasa mashabiki wanashindwa kuelewa kwa uzushi wa propaganda huo.
Kwani ripoti ya Daktari inasemaje? Kama hujasikia basi ni majeruhi.mkuu jikite kwenye hoja acha utahira wa wakudandia treni kw mbele
hajapona vizuri vipi weweKwani timu haipati ushindi? Mnapenda chokochoko, mchezaji mgonjwa mnataka acheze vipi. Acheni apone vizuri, mwisho wa siku anacheza mechi mbili anaumia.
Imebidi nicheke tu.Yaan angekuwepo huyo mbwaa, mbona tungeoga mengii, namchukia km nn. [emoji23][emoji23][emoji23]
Bora asiponee kabisaa hayo majeruhi yake, anakeraaa hatariiii.
nimegundua kuwa huna hoja kama ungekua una hoja ungejikita katika hoja niliyoiwasilisha hapoHilo swali ulilouliza ungekuwa unaakili zaidi kama ungejiuliza kwanini wanapotaka kumuuza mchezaji hawakusanyi maoni kwa mashabiki. Shabiki ana mipaka yake kwenye swala la mpira sio kila kitu kitakuwa wazi kwa shabiki
Kumbe tayari una majibu yako, sasa hapa unalalamika nini?hajapona vizuri vipi wewe
huyo jamaa kapona lakini kuna kitu kiipo nyuma ya Pazia kinafichwa aise
lazima umuombee njaa maana aliwanyoosha kisawa sawaCaren ongezaa manjonjo na ufundi kwa huyo Pacomee, tenaa mpe limbwataa awee zezetaa na atangazee kustaafu soka kabisa, nipo tayari kukupa limbwata konkiiiii.
Namchukia huyo Pacomee km ninii, yaan bora asipone mazima hayo majeruhi yake. Mxxxiiiiieeeeew!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kweli mkuu sasa sijui wanaficha niniLazima kutakua natatizo