Viongozi wakuu Tanzania wanafanya kazi nzuri sana wapongezwe, waombewe kwa Mungu

Kila mtu apambane na hali yake ,kama ambavyo kila mtu atazikwa peke yake kaburini, haya mambo ya kuombea mtu kisa ni kiongozi sioni tija, ombea taifa kwa ujumla na kila kiumbe kilicho ndani ya taifa ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…