.Chukukia Mfano 2015 wangeshida uchaguzi halafu Kamati kuu ya Chadema Ni wabunge watupu hivi wanalisimamiaje bunge Kama Chama?Una mawenge wenge, mawaziri ambao ni wabunge wanalisimamiaje Bunge wakati wao ni watetezi wa serikali. Hilo hulioni unaona la CDM
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona bashiru ni muhaya pure Tu wa bukoba vijijinWekeni hapa evidence sio maneno tu, Bashiru anatoka kanda ya ziwa?
Mkuu wa majeshi, IGP, Jaji Mkuu, DPP,etc. wote ni kutoka kanda ya Ziwa. Unalijua hilo.Hongera sana CHADEMA kwa kuinua kaskazini kwa mara nyingine. Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu bara wanatokea Kilimanjaro kwa asili.
.
Sasa Chadema inakuuma nini nawe ni CCM? Si ufurahi kwakuwa moinzani wako kakosea, kawa ndondocha? Hii si tiketi yako ya ushindi bila kupingwa kama ilivyo utamaduni wenu? Inakuuma nini sasa?Mbowe akili ilishagota hana jipya wala mbinu mpya ya kukiongoza chama
Halaf wanamuimbia pambio eti la mwamba tuvushe, dah maajabu sana mtu aliyeshindwa kuwavusha uchaguzi 2015 akaita mafisadi yaje yagombee urais then juzi uchaguzi serikali za mitaa kashindwa tena kuwavusha
ataweza kuwavusha 2020 kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kuyajua hayo mburu kenge, wanadhani ukabila ulioko kwao hata wengine wako hivyo.Mkuu wa majeshi, IGP, Jaji Mkuu, DPP,etc. wote ni kutoka kanda ya Ziwa. Unalijua hilo.
Yaani dah.....acha tu hawa jamaa zetu Kwa kweli ni wa kuwaonea huruma basi hakuna namna!
Wekeni hapa evidence sio maneno tu, Bashiru anatoka kanda ya ziwa?
Uchaguzi CDM, maumivu lumumba. Ajabu sana hii.
WEWE MBONA KILA WIKIEND UNAKWENDA MOMBASA NA HATUSEMIHongera sana CHADEMA kwa kuinua kaskazini kwa mara nyingine. Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu bara wanatokea Kilimanjaro kwa asili
Akili yako sio akili yao,Fanya yako wachie yaoHapa ndipo wapinzani wanapokosea. Sasa hapa mtatutoa CCM madarakani lini kwa mbinu zenu hizi chovu
Ubaguzi utakuuaHongera sana CHADEMA kwa kuinua kaskazini kwa mara nyingine. Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu bara wanatokea Kilimanjaro kwa asili.
.
Wewe kilaza kweli ulifikiri anatoka kanda ya Nyasa?Wekeni hapa evidence sio maneno tu, Bashiru anatoka kanda ya ziwa?
Kila chama hata timu za mpira zinachangisha wanachama kulipia kadi zao na mie wakianza ntalipia ya mwaka mzima maana ni gharama ndogo sana hyo sio ya kujengea hoja humu.Naomba muwe serious kidogo ndugu zetu Wapinzani.
Kwa mfano CHADEMA:
Mnatuwekea Mwenyekiti Mbowe
Katibu Mnatuwekea Mnyika
Wale wale wa miaka 20 iliyopita, sasa hv wana kipya kipi? Kipi??? Chadema digital kwa ajili ya kuchangishana?
Hahahahaha amazing! Watu wanawaza huduma za kijamii we unakuja na mbinu ya kuwachangisha, dah!
Dah.....
Jamani mpo serious kweli?
Tuseme nyie ndo mngekuwa CCM, mngeshawishika kweli na safu hio?
Twende ACT Wazalendo:
Kuna Ayatollah Zitto Kabwe, kuna nani zaidi? Na mwenyewe hata haaminiki na Wapinzani wenzake.
Twende CUF. Sasa hapa kuna chama cha kupewa dola? Hakuna.
NCCR Mageuzi. Hapa km CUF tu.
Wapinzani, are you serious kweli?
Njooni mniumbue hapa jukwaani, msipanic wala msitukane. Just prove me wrong comrades!
CCM Music
Ahaha hahaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwamba tuvushe.Mbowe akili ilishagota hana jipya wala mbinu mpya ya kukiongoza chama
Halaf wanamuimbia pambio eti la mwamba tuvushe, dah maajabu sana mtu aliyeshindwa kuwavusha uchaguzi 2015 akaita mafisadi yaje yagombee urais then juzi uchaguzi serikali za mitaa kashindwa tena kuwavusha
ataweza kuwavusha 2020 kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm wamefurahi sanaaAhaha hahaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwamba tuvushe.