econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwa kawaida wawaza mbali hawaeleweki mpakajambo litokee, najiuliza je vipi Tulia akiendelea kuwakumbatia wabunge hawa kwa vigezo fulani fulani mtafanyaje?
wale hawajajiweka pale there is something we must wait and see
britanicca
Ajifunze kwa Ndugai. Alisema hashauriki na kwamba ni kichaa lakini mwishowe alilia nimekosa Sana.