Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Kabisa mapenz hayataki ubabe Kila wakati kwakweli nisipodekezwa hata najua napendwa Huwa sifurahi

Hapo lazima sura iwe na nuru sasa ukutane na mtu asiejali unakuwa Kama upo kifungoni,, wanaume ambao sio romantic wauwawe [emoji41]
 
unataka hela ambazo hata baba yako hakuweza kukupa..... ishi maisha tafuta pesa zako uipumzishe hiyo mbunye
 
Hapo lazima sura iwe na nuru sasa ukutane na mtu asiejali unakuwa Kama upo kifungoni,, wanaume ambao sio romantic wauwawe [emoji41]
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Kabisa hawana mchango kwenye sekta ya mahusiano
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mimi mwanaume asiejua kudekeza na kubembeleza naonaga kabisa nitakufa siku sio zangu
Yani kuwa strong women ndo sijawezaga πŸ˜€πŸ˜€
Nafasi ikitokea usisite kunijulisha.Kubembeleza na kudekeza imekuwa kama kipaji kwangu.kiufupi Nina uzoefu wa kutosha kwenye hiyo sekta
 
Nikianza story za pesa yeye ananisimulia matatizo ya kwao, simu nyingi zisizokuwa na umuhimu anakumbushia kupewa mbunye.!!
Huyo baba jeni bye bye atafute wacheza porno wenzie wa bei za jioni 🀣🀣🀣
Duh..mkuu mbona kama unanisema kimafumbo?aisee kumbe wavuvi wa staili hii tupo wengi.Nitafute mbinu mpya sasa
 
Pole sana mkuu, anza kutafuta mbinu mpya aisee 😹😹
Asante sana nimepoa.Hakuna namna ni kutafuta Hela ili nikiombwa nisianze kuelezea matatizo ya nyumbani

Sasa nimeelewa stori za mbunye ni baada ya kuzingatia maokoto😎😎
 
Eti mapenzi yake yeye apewe hela tu [emoji28][emoji28][emoji28],
Ila wanawake bana.
 
Out of point!!
 
Narcissism, gaslighting,backbiting, etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…