Vipimo 3 vibovu wadada tunavyotumia kupima upendo na usiriasi wa mwanaume

Mimi nimeshafeli ktk kipimo cha pesa.

Kabla sijakula mzigo nimepigwa kizinga cha Kodi miezi 6.

100k mara 6= 600,0000/.


Nimetumia mbinu zote za kibaharia nimle kabla sijalipia nimeshindwa.

Wanawake wanachojuwa wao pesa tu..
Ndy upendo.
Muda mwengine huwa si kipimo. Ila huwa ni njia ya kukukimbiza... Anaweza Akala pesa zako na mbunye usipate vile vile.
 
Ndo tumeshambiwa [emoji16][emoji16][emoji16]matan, ila no. 2 nilitumiaga ujanani,Reaction ya mtu ndo husema yote
[emoji16] nimeipenda.. Ila unaweza ukatambulishwa na akaolewa mwengine ujue[emoji19][emoji13]
 
Wengine wanapimia mkuu.. je, aone matumizi yapo???.. Kuna Ile anayekupenda hawezi kukunyima.
Sasa hicho nikipimo kibovu, hata yule usio mpenda unampa pesa ili akurahisishie huduma zake kwa kumpa mapenzi fake ....utawasikia badaye mimi hapa ckupata pesa zako nilicho fuata ni wewe kwani pesa ni kitu gani? Hahaha tayari kashapiga mizinga ya kutosha....demu wa kibongo loh!!!!!
 
Wewe dada mbinguni unaenda bila kupingwa hiyo hoja ya kwanza ndio changamoto kubwa kwa Wanawake wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…