Vipimo 3 vibovu wadada tunavyotumia kupima upendo na usiriasi wa mwanaume

Wanawake omba omba kwao wana historia ya kimaskin, mtu ambae wazaz wake walijaliwa pesa na anazishika aombe pesa ya mwanaume ya nn? Unless mwanaume atake kumpa mwenywe
Yes, umenena... Mwanaume akupe mwenyewe pesa. Lakini tukisema eti tutumie pesa kama kipimo Cha kuangalia kama anakupenda au lah mmh tutatembea na wengi. Na muda mwengine hata si kuwa masikini, Bali ni hulka tu ya baadhi ya wadada, kwmba akishakuwa na mwanaume basi ndiyo anaona matatizo yake yameisha hapa Duniani... Kuna msululu wa wanaume kwasbb ya kuwaomba pesa tu.

Na jamii nyengine, ukiwa na mwanamume ambaye hakupi kupi pesa, huwa wanauliza kabisa, ss kama mwanamume mwenyewe Hana msaada kwako wa kipesa, ww unakuwa nae wa nini????.
 
Kwa sasa mi naangalia uzuri wa mtu kabla sijatoa hela yangu. Na pia unaliwa kwanza ndo hela inafata kama hutaki pita hivi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
ungewapa suluhisho
 
Hakuna anayependa, sema nyinyi waongo. Mtu anakuwa hajui kama ni mume wa mtu au mpenzi wa mtu.
Wee nyie wenyewe mnasema bora kudate na mume wa mtu maana wanajua kujali na hawana papara na mbususu kama sie vijana. Mnakutana leo kesho wataka mbususu
 
Wale wanaokaribia kukata tamaa mimi nawapokea kwa mikono miwili.
 
Wee nyie wenyewe mnasema bora kudate na mume wa mtu maana wanajua kujali na hawana papara na mbususu kama sie vijana. Mnakutana leo kesho wataka mbususu
Mi siwezi
 
William

Mwamba fulani hivi ambae akisoma huu uzi anabaki akitabasamu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ