Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Nope....
Kwa hizi ndege zetu za ndani ni kimoja...(kwa ambazo nimepanda mimi)

Nadhani Toilets zaidi ya Moja zipo kwenye ndege kubwa...
Nikipanda tena lazima niende sema kwenda ndege inatembea mmmh labda ikitua ndo nitakimbia chap.
Oh kumbe ni vidogo? Basi hapo hakuna kusindikizana.
 
Nikipanda tena lazima niende sema kwenda ndege inatembea mmmh labda ikitua ndo nitakimbia chap.
Oh kumbe ni vidogo? Basi hapo hakuna kusindikizana.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ni unaingia mwenyewe....

Mwenyewe ndege ikiwa inatembea hata kusimama siwezi...

Wale wanaoendaga Chooni ndege ikiwa juu wana moyo aisee...
 
Namba ya Muarabu 😂
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ni unaingia mwenyewe....

Mwenyewe ndege ikiwa inatembea hata kusimama siwezi...

Wale wanaoendaga Chooni ndege ikiwa juu wana moyo aisee...
🤣🤣🤣🤣 unaogopa ukitembea itaanguka?

Hata na mimi siwezi nyanyuka , safari yenyewe lisaa limoja sijaenjoy hata seat yangu mara tumefika sasa nanyanyuka kwenda wapi? Pilikapilika za ndege dah!
 
Tusiowahi kupanda ndege tuna-comment wapi?
Au ndio tuanzishe nyuzi za kupanda nyungo.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ni unaingia mwenyewe....

Mwenyewe ndege ikiwa inatembea hata kusimama siwezi...

Wale wanaoendaga Chooni ndege ikiwa juu wana moyo aisee...
mbona ndege ikitulia unatembea vizuri tu coz kuna wakati inafika hata huhisi kama upo ndani ya ndege inayokwenda kwa kasi...so unaenda ma kurudi salama kbs, we huoni cabin crew wanavgotembea confidently kbs.! punguza wogaa uende chooni😅
 
choo cha ndege ni kidogo tu saizi ya kuingia mwili mmoja wa mtu mzima...sema shimo lake ni tofauti na tulivyovizoea, baadhi ya ndege huwa hakuna maji kuna only toilet papers...mimi nlivyoingia chooni nilitaka kutoka nduki wakati wa kuflash, mana ulitoka mlio mkubwa sana mle ndani hlf hakuna maji yaliyokuja kuflash choo bt punde choo (shimo) kikawa safi...nikafikiria kwmb kuna presha maalum ndo inatumika kuflash choo cha ndege na sio maji.

siku nyengine ukipanda ndege kubwa jikaze ukajionee mwnyw.😃
 
mbona ndege ikitulia unatembea vizuri tu coz kuna wakati inafika hata huhisi kama upo ndani ya ndege inayokwenda kwa kasi...so unaenda ma kurudi salama kbs, we huoni cabin crew wanavgotembea confidently kbs.! punguza wogaa uende chooni[emoji28]
Hapana siendi...Choo chenyewe huwezi hata kujigeuza....Ukijaribu tu ni unajigusa na board[emoji23]
Cabin Crew ukute nao wanaogopa ila basi tu...

Naonaga tu ile ndege ikishafika juu...zile lights zikizima watu wanavyoanza Movement najiuliza wanawezaje aisee....Maana mimi ndiyo kitu nimeshindwa.
 
Eee mbona haya makubwa sasa kama hakuna maji unajitawaza na nini jamani?
 
Haha umenikumbusha, niliwahi kupanda na dada mmoja toka Jro to Jnia, alinisumbua balaa, hajui kufunga mkanda wala kufungua, maswali njia nzima...kaka tupo wapi...kaka tutafika saa ngapi, ..kaka wakati wa kushuka itakuwaje..kaka kaka kila mara nilichoka sana maswali
 
Hii ni kwasababu labda unapanda za safari fupi ndani ya saa 1 na madakika, ukipanda ya masaa mengi hutaogopa kwasababu baada ya masaa kadhaa utakuwa ukiona watu wakipishana kwenda uani.
Mimi pia nilizoea hizi safari za ndani so nilikuwa naona sio ustaarabu kuamka amka na kwenda uani, nilipoanza kusafiru safari ya masaa mengi uoga uliishia pale hasa niliposafiri kwa masaa 13 mfululizo
 
Choo ni kidogo...

Niliingia ndege ilitua Zanzibar kutokea KIA to Dar....Na mimi ni kama wewe..nikasema leo wacha nikavione....kwanza na Mlango ukataka kunizingua[emoji1787]

Mimi kwenda Chooni ndege inatembea hapana aisee...Naona itadondoka
Na ulivyo muoga sasa, huo mlango uliokuzingua ni precision?
Maana vimilango vyao vya hovyo sana
Makiwendo 😁
 
Mkuu mbona safari ya Zanzibar..dar ni fupi sana na ndege wala haipai juu sana?.kutoka Karume ukipaa dakika 10 hivi unaiona Dar, na kushuka ni ndani ya dk 15 hadi 20 hivi.

Kwa airbus toka Zanz to Dar ni dakiko 15 tu.

Naam kukaa dirishani raha sana
 
Nasema hivi lazima niende nextime 😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…