Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

[emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16]
baada ya gradu yangu chuo.Tukarudi mkoa na maza. Fastjet ndo imeanza.Nı mara yetu ya kwanza wote.
1. Mama anataka kukaa akakuta juu ya siti sehemu ya mizgo kuna mtu kashaweka wake.Akatia,"wee kondaa,we kondaa wéeh,hebu njoo kwanza"

2. Nikajaribu kwenda choóni japo sijabanwa alimradi tu nione pakoje

3.Facebuk page yangu iliomba poo. Mara checkin in at JKİ Airport. Mara nitupie picha alimradi kila mtu ajue.

4. Tulivofika madreva tax wakaanza kututukana eti "hamna lolote nyie mtakuwa fastjet tu" hapo kisa ni baada ya wao wanatugombania sie hatuna time tunaenda kwny daladala.

5. Jioni napokea simu toka kwa mjomba: "ah mjomba nimeamini ushamba mzigo wa mwiba".Nkamuuliza kwanini? Akasema,"leo sina raha. mama yako kutwa nzima anantambia kwny simu kisa kapanda ndege"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa chako kinafanana na mdada mmoja tulipanda pamoja KIA alikuwa na wenge balaa, hajui kufunga mkanda wala kufungua.
Kimbembe kilikuwa wakati wa kupaa alitamani aombe kushushwa[emoji23] nilipata kazi ya kumtuliza sana.
Mie mbona sitasahau,,,,,,,,,,
cku iyo nilijipodoa kama naenda harusini kufika airport parfume yng ikawekwa kwny dustibini niliumia sana.............
nilipoingia ndani sijui ni uoga nikaita air host aje kunifunga mkanda kasheshe wkt wa kushuka mkanda ukanishinda kufungua ikabidi jirani yng kk mmoja anisaidie..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Panda kia to dar, Arusha inatua Precision air lkn ni ghali sana ukilinganisha na ukichukua shuttle kwenda kupandia kia kwa 10k.
Vilevile bei za ndege sio fixed, ingia online uchague www.airtanzania.tz au www.precisionair.com
Tokea nimeanza kusoma huu uzi nimepata experience sana na shemeji yenu namkamata kwamba nimewahi kupanda ndege kumbe hollAh...

Sasa mniambie ndege ipi ya bei rahisi kutoka arusha to dar ,dar to mwanza, dar to mbeya..
Nikimaliza hizi route niazne kutoka nnje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyakyusa?[emoji23][emoji23][emoji23]
kuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom