qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
Hahaha mimi nakumbuka niliadithiwa na kuelekezwa kila kitu na nibibi yangu mama kska na dada zangu maana nilipanda utotoni sasa hii ya ukubwani nilikuwa na safiri peke yangu wakanipa darasa la kitosha tu home nimefika tu JNIA pale tuna subiri kwenye viti tuitwe si nikakumbuka niliambiwa nizime simu nikazima hata kabla hatujaingia kwenye ndege nimekuja kuwasha wakati nimeshashuka nipo kwenye tax nakuta msg kibao wananiuliza km nilishaingia tayari kwenye ndege.. ushamba ni ushamba tu hata sikuwa na wazo la kubadilisha setting za kwenye simu kutoka general or silent profile to flight mode/profile