Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Atapeli wazee sokoni Manzese.

Jamaa huyu ni mwalimu( Tapeli mzoefu)

Kakodi taksi toka muhimbili mpaka Manzese sokoni pale Bakhresa. Kufika pale kaagiza mikungu ya ndizi ya elfu 30000 kisha anakwambia hebu nipe elfu tano hapo nichukue kabichi utaunganisha ktk bili yangu. Anaenda kwa muuza kabichi hapohapo pembeni yako anachukua kabichi za elfu kumi kisha anachukua elfu mbili achukue vitunguu. Jamaa alitapeli meza kama tano akajipatia kama elfu hamsini mkononi akawaacha kila mtu na mzigo wake akasepa...sasa bada ya kujua wamepigwa wakamuendea dereva taksi...awaonyeshe bosi wake...hapo ndo walichoka yaani yule jamaa kamkodi toka muhimbili mpaka manzese na pale anasubiri pesa yake.

Nb

Baada ya malalamiko kuwafikia matapeli wa manzese wenzake. Wakamtafuta siku alipopata pesa akaenda kuwalipa wote kasoro dereva teksi.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Jamaa Asafiri mpaka Morogoro kumendea mzigo.

Tapeli wa mazense kanunua mabegi sawa baada yakupewa mchingo wa pesa ndefu.

Kuna mtu alikuwa anaenda Mwanza ana begi kubwa moja. Jamaa akanunua mabegi kama yale mawili. Akakata tiketi gari lilelile akapata pata siti ya karibu naye akaweka like begi pambeni kidogo ya yule jamaa wa mwanza alipoweka. Gari kufika Moro jamaa akashuka akashuka na begi la msukuma. Akapanda gari akarudi Dar...
Ndani akakuta vitenge vya waksi doti kama hamsini. Fedha kama laki tatu na khanga na nguo nguo nyingine.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Mungu wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Jamani ina maana humu hatujawahi kukutana na visa hivi vya kitapeli?
Karata 3?
Madini bandia?
Mercury bandia?
Noti bandia?
Bidhaa bandia kama simu, Marathi, viatu nk?
Dili za kusambaza madawa ama chakula kambi za wakimbizi?
Bahati nasibu za mitandao? Nknk

Jr[emoji769]
 
Kama kisa hiki ni cha kweli basi una njaa kali sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona penzi linafufuka upya.
Safi sana.
Hawara hana talaka
Kaanzisha mada ya utapeli ili atapeliwe tena na chamdeko wake.
Mshana itakua amemiss kutapeliwa na taratibu mambo yataenda kama yanavyopaswa kua.
The bold na Niffah wake nao siwaoni kabisa siku hizi sijui hata kulikoni.

Maendeleo hayana chama
 
Kaanzisha mada ya utapeli ili atapeliwe tena na chamdeko wake.
Mshana itakua amemiss kutapeliwa na taratibu mambo yataenda kama yanavyopaswa kua.
The bold na Niffah wake nao siwaoni kabisa siku hizi sijui hata kulikoni.

Maendeleo hayana chama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
umenikumbusha mbali, hizo ndio ilikuwa zangu enzi hizo mpaka nilinunua fenicha za ndani kuanzia kitanda, godoro kabati makochi tv nk kwa pesa za kutumiwa nauli hahaha dah!
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.
 
Atumie yake akifika nitamrudishia

Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuuuu labda sio kwa chamdeko nnaemjua mimi
Hapo akikulegezea jicho kidogo tu mpare lazima utoboke.

Maendeleo hayana chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…