Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli


Kumbe! Basi wanivute nije kesho au waje Times Square NY niwape nywele na mkojo wakaniloge maana kwa story zenu wachawi wanaweza kufanya kila kitu isipokua kupata details za mtu including nywele zake na mkojo wake.
 
Hujui kuwa mm ni kijana au la. Tuachane na porojo naomba nijibu swali la tafiti pasipo nadharia na kama unaweza thibitisha nadharia usiyoijua katika tafiti. Nijibu Kwa ufupi tafadhali.
Jibu swali nililo kuuliza acha kupoteza muda kwenye hakuna.
 
Embu tuchane na magazeti.
Haya niambie, wewe unaweza fanya utafiti kuthibitisha mada ambayo nadharia yake huijui? Usijibu kwa maelezo ya gazeti.
Nacheka sana kwahiyo umeona gazetu langu,gazeti ulilo liandika hapo kabla hujaliona ?

Adabu za mjadala zinataka itifaki na umakini,siyo kuruka ruka kama unavyo ruka. Hili unalo taka nilifanye sasa hivi ulitakiwa ulifanye mwanzi kabisa,yaani uhoji,ili upate faida.

Kwanza uliza swali viziri na uweke tamko "nadharia" mahala pake.

Kwanza kujua tu kama hujui ni nusu ya elimu,ndiyo maana hata nyinyi hamjijui kama hamjui ndiyo maana mnatupotezea muda sisi tunao jua suala hili la Uchawi.

Jambo ambalo hulijui kuthibitisha kwake ni kukiri tu kwamba hujui. Halihitaji kelele nyingi wala abrakadabra manzo zifanya hapa.
 
Gazeti. Lilikuwa swali la ufahamu tu kupima uelewa wako kuhusu tafiti. Kazi yako ushamaliza🤣
 
Kumbe! Basi wanivute nije kesho au waje Times Square NY niwape nywele na mkojo wakaniloge maana kwa story zenu wachawi wanaweza kufanya kila kitu isipokua kupata details za mtu including nywele zake na mkojo wake.
haya bhana!! kuna siku utajua hujui
 
"Science mwitu"

"Miziziolojia"

We jamaa terminology zako huwa zinanichekesha Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahahah sasa kumbe unaringa sababu uko New York mzee! Huko watu wako busy na maisha nani ana muda wa kufuatilia umekula nini ama umefanya nini cha maendeleo yako binafsi?
Mwambie uchawi hauvuki bahari

Aje bongo sense Hadi ujiji halafu atamke kwa sauti kubwa "atakaye niroga Nampa 100k"

Aone jinsi vugagula watakavyo mshugulikia
 
Extrovert Lover boi nawasaidia mwambieni Chizi Maarifa atoe jina la huyo diwani mimi nitawapa kila mmoja wenu laki tano (500,000/=) TSH.

Moderator simamia hili. Wakitoa jina la huyo diwani na nisipowalipa futa kabisa account yangu.
Kufuta akaunti ndio itaprove nini

So unafungua akaunti ingine

Kwanii hii akaunti unayotumia sasa hapa inakuingizia hela au Ina umuhimu wowote mkubwa kwenye maisha yako .
 
Kufuta akaunti ndio itaprove nini

So unafungua akaunti ingine

Kwanii hii akaunti unayotumia sasa hapa inakuingizia hela au Ina umuhimu wowote mkubwa kwenye maisha yako .

I'd rather pay 500k kuliko kupoteza hii acc.

Kwanini jina la Diwani linafichwa? Toka lini jina ambalo ni public record linafichwa? Ilibidi liambatanishwe bila kuombwa ila sababu hamtaki nimeamua kuwapa motisha napo mnashindwa. Kama hii sio chai ni nini?
 
Mwambie uchawi hauvuki bahari

Aje bongo sense Hadi ujiji halafu atamke kwa sauti kubwa "atakaye niroga Nampa 100k"

Aone jinsi vugagula watakavyo mshugulikia

Unasema uchawi hauvuki bahari? Msome muamini ushirikina mwenzio hapa chini afu niambie kipi ni kipi:

 
Mwambie uchawi hauvuki bahari

Aje bongo sense Hadi ujiji halafu atamke kwa sauti kubwa "atakaye niroga Nampa 100k"

Aone jinsi vugagula watakavyo mshugulikia
Atanyoroshwa mapema sana
 

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app

Hakuwa mjamzito bali aliingiziwa kuku kwa ujinga wakuamini ushirikina kama nyie midanganyika mengine. Na sio yeye tu wapo kibao wanaoingiziwa hadi mawe bdae wanasema wamejifungu mawe ilhali hawakuwa wajawazito to begin with.

"Pia amedai, tukio hilo linahusishwa na imani za kishirikina kwa kuwa vipimo vinaonyesha mama huyo hakuwa na dalili yoyote ya ujauzito na haoneshi kama alikuwa na ujauzito."

Jisomee zaidi hapa: Mwanamke ajifungua kuku Kituo cha Afya Uvinza

Tatizo lenu mkisikia story yeyote inayohusu ushirikina mnaamini pasi kufikirisha bongo zenu. Mnaambiwa wachawi wanapaa hamjawahi kuona mtu hata siku moja anapaa ila bado mnaamini kisa tu mnaona waigizaji wamejipaka mikaa makanisani wanadai wameanguka.

Mnaambiwa story za kusadikika za Diwani mnaamini tu kama nyumbu, toeni jina la diwani nithibitishe.

Mh Mwigulu Nchemba anza kutoza tozo za uzwazwa kwa hawa nyumbu.
 
nisaidie picha yako mkuu kuna jirani yupo yupo tu hapa kakaa ila ni mchawi kinoma nimpe aongeze idadi ya misukule na atashukhuru sana
 
nisaidie picha yako mkuu kuna jirani yupo yupo tu hapa kakaa ila ni mchawi kinoma nimpe aongeze idadi ya misukule na atashukhuru sana

Hii hapa chini. Nisubiri muda gani kuona effects zake? Jina la diwani limewashinda?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…