Kiongoz acha kubisha!! nimeshuudia kuna watu walikua wapo ulaya na marekani huko hawataki kururi makwao Tz!! Walikua wanavutwa kurudi..mbona walirudi Tz!! kitu kinafanyika huku watu wanapanga mabegi huko..Uwezekano wa wewe kuvutwa ni rahis sana kama kunywa maji!!
Jibu swali nililo kuuliza acha kupoteza muda kwenye hakuna.Hujui kuwa mm ni kijana au la. Tuachane na porojo naomba nijibu swali la tafiti pasipo nadharia na kama unaweza thibitisha nadharia usiyoijua katika tafiti. Nijibu Kwa ufupi tafadhali.
Waai. Tuishie hapa.Jibu swali nililo kuuliza acha kupoteza muda kwenye hakuna.
Nacheka sana kwahiyo umeona gazetu langu,gazeti ulilo liandika hapo kabla hujaliona ?Embu tuchane na magazeti.
Haya niambie, wewe unaweza fanya utafiti kuthibitisha mada ambayo nadharia yake huijui? Usijibu kwa maelezo ya gazeti.
Mwamba inaonekana ujawai kuendesha bike kabisa. check hata youtube basi...Tawi limempataje kiunoni baada ya kichwani?
Gazeti. Lilikuwa swali la ufahamu tu kupima uelewa wako kuhusu tafiti. Kazi yako ushamaliza🤣Nacheka sana kwahiyo umeona gazetu langu,gazeti ulilo liandika hapo kabla hujaliona ?
Adabu za mjadala zinataka itifaki na umakini,siyo kuruka ruka kama unavyo ruka. Hili unalo taka nilifanye sasa hivi ulitakiwa ulifanye mwanzi kabisa,yaani uhoji,ili upate faida.
Kwanza uliza swali viziri na uweke tamko "nadharia" mahala pake.
Kwanza kujua tu kama hujui ni nusu ya elimu,ndiyo maana hata nyinyi hamjijui kama hamjui ndiyo maana mnatupotezea muda sisi tunao jua suala hili la Uchawi.
Jambo ambalo hulijui kuthibitisha kwake ni kukiri tu kwamba hujui. Halihitaji kelele nyingi wala abrakadabra manzo zifanya hapa.
haya bhana!! kuna siku utajua hujuiKumbe! Basi wanivute nije kesho au waje Times Square NY niwape nywele na mkojo wakaniloge maana kwa story zenu wachawi wanaweza kufanya kila kitu isipokua kupata details za mtu including nywele zake na mkojo wake.
"Science mwitu"Usichokielewa wewe ni kuwa hata maabara huwa wanachukua sample! Thats how it works hata kwa science mwitu mzee [emoji28].., wewe siku umeshiba zako kande jikokote tukutane mahali flani sie tutatafuta mtaalam kwa gharama zetu kisha utampatia briefing yako kisha umpatie majina kamili na kanywele kadogo ka kichwa then utulie tu after some time utatoa mrejesho!
Mwambie uchawi hauvuki bahariHahahahah sasa kumbe unaringa sababu uko New York mzee! Huko watu wako busy na maisha nani ana muda wa kufuatilia umekula nini ama umefanya nini cha maendeleo yako binafsi?
Kufuta akaunti ndio itaprove niniExtrovert Lover boi nawasaidia mwambieni Chizi Maarifa atoe jina la huyo diwani mimi nitawapa kila mmoja wenu laki tano (500,000/=) TSH.
Moderator simamia hili. Wakitoa jina la huyo diwani na nisipowalipa futa kabisa account yangu.
Kufuta akaunti ndio itaprove nini
So unafungua akaunti ingine
Kwanii hii akaunti unayotumia sasa hapa inakuingizia hela au Ina umuhimu wowote mkubwa kwenye maisha yako .
Mwambie uchawi hauvuki bahari
Aje bongo sense Hadi ujiji halafu atamke kwa sauti kubwa "atakaye niroga Nampa 100k"
Aone jinsi vugagula watakavyo mshugulikia
Kiongoz acha kubisha!! nimeshuudia kuna watu walikua wapo ulaya na marekani huko hawataki kururi makwao Tz!! Walikua wanavutwa kurudi..mbona walirudi Tz!! kitu kinafanyika huku watu wanapanga mabegi huko..Uwezekano wa wewe kuvutwa ni rahis sana kama kunywa maji!!
Atanyoroshwa mapema sanaMwambie uchawi hauvuki bahari
Aje bongo sense Hadi ujiji halafu atamke kwa sauti kubwa "atakaye niroga Nampa 100k"
Aone jinsi vugagula watakavyo mshugulikia
Unasema uchawi hauvuki bahari? Msome muamini ushirikina mwenzio hapa chini afu niambie kipi ni kipi:
nisaidie picha yako mkuu kuna jirani yupo yupo tu hapa kakaa ila ni mchawi kinoma nimpe aongeze idadi ya misukule na atashukhuru sanaHakuwa mjamzito bali aliingiziwa kuku kwa ujinga wakuamini ushirikina kama nyie midanganyika mengine. Na sio yeye tu wapo kibao wanaoingiziwa hadi mawe bdae wanasema wamejifungu mawe ilhali hawakuwa wajawazito to begin with.
"Pia amedai, tukio hilo linahusishwa na imani za kishirikina kwa kuwa vipimo vinaonyesha mama huyo hakuwa na dalili yoyote ya ujauzito na haoneshi kama alikuwa na ujauzito."
Jisomee zaidi hapa: Mwanamke ajifungua kuku Kituo cha Afya Uvinza
Tatizo lenu mkisikia story yeyote inayohusu ushirikina mnaamini pasi kufikirisha bongo zenu. Mnaambiwa wachawi wanapaa hamjawahi kuona mtu hata siku moja anapaa ila bado mnaamini kisa tu mnaona waigizaji wamejipaka mikaa makanisani wanadai wameanguka.
Mnaambiwa story za kusadikika za Diwani mnaamini tu kama nyumbu, toeni jina la diwani nithibitishe.
Mh Mwigulu Nchemba anza kutoza tozo za uzwazwa kwa hawa nyumbu.
nisaidie picha yako mkuu kuna jirani yupo yupo tu hapa kakaa ila ni mchawi kinoma nimpe aongeze idadi ya misukule na atashukhuru sana
Mkuu unavaa hereni kama mwanamke?Au nimeangalia vibaya?Hii hapa chini. Nisubiri muda gani kuona effects zake? Jina la diwani limewashinda?
View attachment 1931365