Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Nina rafk yangu alishawahi kushuhudia watu watatu waliokua wanatembea pamoja wakayeyuka tena hakushuhudia peke yake alishuhudia wakiwa na wana Kama wanne hiv kila mmoja akatoka nduki
Hiyo ni bangi mkuu,,,mimi mwenyewe mwaka 2010 nilikuwa maeneo ya Namanga Arusha,,kwa miaka ile kule bangi ilikuwa inavutwa hadharani kama sigara,mirungi inauzwa hadharani kama matembele,,,siku hiyo tuko na jamaa yangu ambae tulienda nae kule kwa ajili Field pale mpakani yeye alikuwa mkurya anavuta bangi fresh sasa siku hiyo tumepiga Ugimbi bwana kileo kilivonoga wakawasha bangi wakanambia mwenge hauvuki kijiji nikapiga pafu kadhaa muda wa saa sita tunarudi nyumbani tunatembea pembezoni mwa barabara kuu ya Arusha-Nairobi kwa mbali kama mita 100 tukaona watu watatu wanakuja jamaa akanambia umewaona wale nikamwambia ndio akasema wakituzingua tuwatembeze mkong'oto mkali nikwambia sawa gafla kama sekunde 30 jamaa wametufikia wakatuomba kiberiti jamaa akawapa sasa nikawa namuuliza hawa mbona walikuwa mbali wamefikaje haraka hivo kugeuka nyuma jamaa tumeachana muda huo huo tunawaona umbali wa zaidi ya mita 100, yule mwanangu akaanza kukimbia ananiambia wale ni wachawi,,kufika geto jamaa nashangaa anasema kaka nishike napaa napaa napaa[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]lile eneo lilikuwa na miti mingi ule upepo ulivokuwa unavumaa kwenye miti basi jamaa akajua ni mvua kwenye saa tisa akatoka kukinga maji ya mvua asubuhi pamekucha ananiambia aseh jana nimekinga maji ww umelala tu natoka kucheki jua kali hakuna hata tone daah nilicheka sanaa jamaa nae alijiona fala akanambia hajawahi vuta bangi kali vile

Sasa jioni tuko mazoezi uwanjani kuna mmoja ya wale jamaa wa tatu wa usiku akaanza tupa stori ya tulivokutana usiku akatuuliza jana mlikunywa nini?tumekutana tunawaomba kiberiti gafla mkaanza kimbia kuwa mmekutana na wachawi[emoji16][emoji1787]aseh kuanzia siku ile sikuwahi jaribu hata kwa bahati mbaya kuvuta tena bangi
 
ukikaidi utapigwa2 nilishajibu kuhusu kuku hapa. Tatizo mnatumia vichwa kufuga nywele tu badala ya kutumia bongo zenu.

Hakuwa mjamzito bali aliingiziwa kuku kwa ujinga wakuamini ushirikina kama nyie midanganyika mengine. Na sio yeye tu wapo kibao wanaoingiziwa hadi mawe bdae wanasema wamejifungu mawe ilhali hawakuwa wajawazito to begin with.

"Pia amedai, tukio hilo linahusishwa na imani za kishirikina kwa kuwa vipimo vinaonyesha mama huyo hakuwa na dalili yoyote ya ujauzito na haoneshi kama alikuwa na ujauzito."

Jisomee zaidi hapa: Mwanamke ajifungua kuku Kituo cha Afya Uvinza

Tatizo lenu mkisikia story yeyote inayohusu ushirikina mnaamini pasi kufikirisha bongo zenu. Mnaambiwa wachawi wanapaa hamjawahi kuona mtu hata siku moja anapaa ila bado mnaamini kisa tu mnaona waigizaji wamejipaka mikaa makanisani wanadai wameanguka.

Mnaambiwa story za kusadikika za Diwani mnaamini tu kama nyumbu, toeni jina la diwani nithibitishe.

Mh Mwigulu Nchemba anza kutoza tozo za uzwazwa kwa hawa nyumbu.
 
Mimi sio omba omba, nnaridhika na nnacho kipata tupige tu story humu kila mtu akale jasho lake.
Swala la uchawi kama haupo una shupaa nalo la nini? yaani na elimu yako una komaa na kitu haki exist?

Ukitumia akili kidogo tu utagundua sikomai na uchawi hapa bali your thought process.

Naona mnatumia vichwa vyenu kama kasha la kufugia nywele tu wakati kuna mengi zaidi mngeweza kutumia kufanya.

Kila mnachoongea kinakinzana: uchawi is all powerful yet hamuwezi kuniloga. Uchawi unaweza kila kitu bado hata jina la diwani mnashindwa kutoa. Mwingine kasema uchawi hauvuki bahari, mwingine kasema ndugu zake walivutwa toka Ulaya na US kichawi. Nishajibu kuhusu ishu za watu kujifungua kuku/mawe na nishajibu ishu ye Kiyeyeu kule Isimila Iringa.

Nakomaa na y'all thought process sio uchawi wenyewe particularly. I hope you have enough mental capacity kung'amua hili by now.
 
Nikuulize unaweza kuingiza kuku ndani ya tumbo la mtu kupitia uke na asipate madhara ?hapo tuachane na Story za uchawi

Mkuu hawa wanawake wanaingiziwa vitu ukeni barely kwa imani za kishirikina sio tumboni per se. Unaweza ingiza zaidi ya kuku ukeni.

"Pia amedai, tukio hilo linahusishwa na imani za kishirikina kwa kuwa vipimo vinaonyesha mama huyo hakuwa na dalili yoyote ya ujauzito na haoneshi kama alikuwa na ujauzito."
 
Hiyo ni bangi mkuu,,,mimi mwenyewe mwaka 2010 nilikuwa maeneo ya Namanga Arusha,,kwa miaka ile kule bangi ilikuwa inavutwa hadharani kama sigara,mirungi inauzwa hadharani kama matembele,,,siku hiyo tuko na jamaa yangu ambae tulienda nae kule kwa ajili Field pale mpakani yeye alikuwa mkurya anavuta bangi fresh sasa siku hiyo tumepiga Ugimbi bwana kileo kilivonoga wakawasha bangi wakanambia mwenge hauvuki kijiji nikapiga pafu kadhaa muda wa saa sita tunarudi nyumbani tunatembea pembezoni mwa barabara kuu ya Arusha-Nairobi kwa mbali kama mita 100 tukaona watu watatu wanakuja jamaa akanambia umewaona wale nikamwambia ndio akasema wakituzingua tuwatembeze mkong'oto mkali nikwambia sawa gafla kama sekunde 30 jamaa wametufikia wakatuomba kiberiti jamaa akawapa sasa nikawa namuuliza hawa mbona walikuwa mbali wamefikaje haraka hivo kugeuka nyuma jamaa tumeachana muda huo huo tunawaona umbali wa zaidi ya mita 100, yule mwanangu akaanza kukimbia ananiambia wale ni wachawi,,kufika geto jamaa nashangaa anasema kaka nishike napaa napaa napaa[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]lile eneo lilikuwa na miti mingi ule upepo ulivokuwa unavumaa kwenye miti basi jamaa akajua ni mvua kwenye saa tisa akatoka kukinga maji ya mvua asubuhi pamekucha ananiambia aseh jana nimekinga maji ww umelala tu natoka kucheki jua kali hakuna hata tone daah nilicheka sanaa jamaa nae alijiona fala akanambia hajawahi vuta bangi kali vile

Sasa jioni tuko mazoezi uwanjani kuna mmoja ya wale jamaa wa tatu wa usiku akaanza tupa stori ya tulivokutana usiku akatuuliza jana mlikunywa nini?tumekutana tunawaomba kiberiti gafla mkaanza kimbia kuwa mmekutana na wachawi[emoji16][emoji1787]aseh kuanzia siku ile sikuwahi jaribu hata kwa bahati mbaya kuvuta tena bangi

Sasa msingeambiwa kilichotokea usiku uliopita mngeendelea kuamini ni uchawi na mngesambaza habari kwamba mmeshuhudua uchawi na story ingeendelea hivyo hivyo. Hivi ndivyo story zoooote za ushirikina zilivyo ni story za hearsay zisizomake any sense au zenye majibu thabiti kabisa ila watu hawataki kufikirisha akili kupata hayo majibu wanaamini tu kama nyumbu.
 
Nimefika Kigoma countless times na the latest nimeenda ni mwaka huu huu hadi Manyovu kule mpakani na Burundi so naifahamu Kigoma na Tz kwa ujumla vizuri tu sio kama nyie mnaosimuliwa hapa. Hakuna jambo la ajabu lolote nililoshuhudia zaidi ya hizi story zenu za hearsay.

Story za Musa na Mungu wako uliyeletewa na mizungu/miarabu kwa viboko na mijeredi ni story za kusadikika kama hii hapa au Ile ya Kiyeyeu Isimila Iringa, wasimulie wenzako mnaoabudu nao hiyo mizungu na miarabu.
Itikadi zako ni kama za Kiranga
Za kusema Mungu hayupo.....owky.

Ila kaa ukijua uchawi ipo na una exist hata ukiwauliza wazazi wako watakwambia.....
Bufa uchawi upo na una exist usilete ligi
 
Itikadi zako ni kama za Kiranga
Za kusema Mungu hayupo.....owky.

Ila kaa ukijua uchawi ipo na una exist hata ukiwauliza wazazi wako watakwambia.....
Bufa uchawi upo na una exist usilete ligi

Neno la wazazi wangu sio sheria. I question everything sibebi tu sababu fulani amesema.
 
Sio kazi Yangu kukuthibitishia uwepo wa uchawi or anything in that matter. Burden of proof anebeba mtoa madai siku zote.

Nahitaji jina la Mh Diwani aliyetajwa kwenye uzi either kahusishwa na uchawi au vinginevyo. Ni ofisi ya umma hivyo ni haki yangu kumjua hata kama sio kwa mambo yahusianayo na ushirikina.

Nitajujibu ukija na Jina kama huna biashara yetu imeishia hapa.
Kuna watu ni wajinga hii nchi kama huyu, wee huo muda wa kubishana na kila kitu watu wanacho post unautoa wapi? Hauna kazi za kufanya au? Mbona unakua mbumbumbu mkubwa kiasi iki? Hata kama ni uongo sasa wewe yana kuhusu nini? Si uache tu watu wajisomee wafurahi siku zipite, acha ujinga bana tafuta kazi ya kufanya.
 
Itikadi zako ni kama za Kiranga
Za kusema Mungu hayupo.....owky.

Ila kaa ukijua uchawi ipo na una exist hata ukiwauliza wazazi wako watakwambia.....
Bufa uchawi upo na una exist usilete ligi

Uchawi ni nini?

Unajuaje huu uchawi na hiki ni kitu tu hujakijua lakini si uchawi?

Mfano, mtu ambaye haujui mchezo wa karata tatu, akioneshwa mchezo huo kwa mara ya kwanza, anaweza kuamini ni uchawi.

Au, tukimchukua babu wa babu wa babu wa babu yako aliyezaliwa miaka zaidi ya 140 iliyopita, ukamleta leo aone watu wanavyowasiliana kwa simu, ataona kama uchawi, wakati si uchawi, ni teknolojia tu ambayo hajaijua.

Sasa wewe hicho unachokiita uchawi unajuaje ni uchawi kweli na si karata tatu au kitu kingine usichokijua?
 
Exactly. It's all hearsay. Nothing more to it.
Mmmh hayaja kupaya mkuu. Siku ukija bongo TOA taarifa Tena uwe Mambo Safi halafu tupe taarifa tukuelekeze Nini Cha kufanya ili uone madhara yao!!!
 
Nimefika Kigoma countless times na the latest nimeenda ni mwaka huu huu hadi Manyovu kule mpakani na Burundi so naifahamu Kigoma na Tz kwa ujumla vizuri tu sio kama nyie mnaosimuliwa hapa. Hakuna jambo la ajabu lolote nililoshuhudia zaidi ya hizi story zenu za hearsay.

Story za Musa na Mungu wako uliyeletewa na mizungu/miarabu kwa viboko na mijeredi ni story za kusadikika kama hii hapa au Ile ya Kiyeyeu Isimila Iringa, wasimulie wenzako mnaoabudu nao hiyo mizungu na miarabu.
Ss bufa hapa unajichanganya,kama una amini story za Musa tumeletewa na wazungu ina maana kabla y hapo tulikuwa na iman zetu ambazo ndio kama hizo za kigoma,ss ww upo upande gan hebu kuwa specific. ...
 
Mmmh hayaja kupaya mkuu. Siku ukija bongo TOA taarifa Tena uwe Mambo Safi halafu tupe taarifa tukuelekeze Nini Cha kufanya ili uone madhara yao!!!

Uchawi ambao ni all powerful hauwezi kufika nilipo?

Uchawi ambao ni all powerful hauwezi kutoa hata jina la Diwani sasa unaweza nini?

Nimetoka bongo last week tu, huko Kigoma mnakodanganyana nimefika kote mwaka huu huu hakuna chochote cha ajabu ndo maana nawaambia nipeni jina la huyo diwani.
 
Kuna watu ni wajinga hii nchi kama huyu, wee huo muda wa kubishana na kila kitu watu wanacho post unautoa wapi? Hauna kazi za kufanya au? Mbona unakua mbumbumbu mkubwa kiasi iki? Hata kama ni uongo sasa wewe yana kuhusu nini? Si uache tu watu wajisomee wafurahi siku zipite, acha ujinga bana tafuta kazi ya kufanya.

Ukishaweka jambo ni public domain ina maana unaruhusu maoni ya watu wote ila sababu kichwani umejaza makamasi tu hujui hili.

Nimewaambia tatizo halipo kwenye imani zenu za ushirikina tu but also in your thought process. Hoja zenu zote zinakinzana no logic whatsoever.

Diwani asiye na jina mnaamini. Wachawi are all powerful yet wanashindwa kuniloga. Sijui mnaweza nini?

Aidha naingiza mkwanja huku najibu hoja zenu hapa jukwani simultaneously ndo maana nimesema atayenipa jina la diwani nithibitishe nampa laki 5 TSH. So mkuu wewe ndo tafuta kazi za kufanya mim I'm set.
 
Ss bufa hapa unajichanganya,kama una amini story za Musa tumeletewa na wazungu ina maana kabla y hapo tulikuwa na iman zetu ambazo ndio kama hizo za kigoma,ss ww upo upande gan hebu kuwa specific. ...

Kama walikua na imani hizi za kusadikika they were wrong as well. Rejea majimaji war.
 
Back
Top Bottom