Hahaha, hii ni vita ya mafahari wawili.Huenda alikuwa hajazipata habari za Msukuma na yaliyojiri ziarani Asia, ulaya na America.
Na kama kazipata naona atamwondolea kazi na ulinzi kwani hii in dharau sasa juu ya vita ya ufisadi inayonadiwa kupiganwa huku wateule wakiendelea kuzipiga kuliko zamani.
Na kwa mtindo huu mahakama ya mafisadi haitompata hata mteja mmoja.
Kwani bado huwa ipo hewani?Vipi TBC watakuwa mubashara?
Makonda hatumpingi ila tunamchana ukweli wa mambo ulivyo ,vita vya madawa ya kulevya hazikuwa za mkuu wa mkoa naomba nikukumbushe KITWANGA alivyotuambia kabla hajamwaga unga "hatuwezi kuwakata kuwataja ila tumeandaa mkakati wa kuzia madawa yasiingie nchini '
Pili kazi hii ilipaswa kufanywa na RAIS ,MAKAM NA WAZIRI MKUU kwa sababu majina ya mapapa wanayo ikulu yaliachwa na JMK
Msukuma ni chama gani vile?Safi sana Makonda,
Chadema watanyooka tu
Sio kituo sahihi hicho!Vipi TBC watakuwa mubashara?
Mwanzo nilimuunga mkono Mkono jamaa nikidhani hii vita ni for real, hata hivyo Hukumu ya Jana imethibitisha kuwa hao waliokamatwa ni insignificant, hawana impact yoyote katika biashara ya madawa!
Wema naona ameamua kumtunishia msuli wa kimamlaka!
Hii ni aibu!
Swala la madawa ya kulevya si la Bavicha wala uvccm,ni la watanzania wote. Wekeni pembeni itikadi zenu za kisiasa.Sasa hivi tumeanza kuona mwanga sasa. Bavicha walikuwa wanakupoteza mzee
Hii 05:00 unamaanisha saa kumi na moja alfajiri ama? Nilivyofundishwa mimi ni kwamba masaa yanaandikwa kwa namna mbili. Either kwa kutumia mfumo wa masaa kumi na mbili yaani 05:00PM/AM ambayo ni saa kumi na moja alfajiri au saa kumi na moja jioni au kwa masaa 24 yaani 0500HRS ambayo humaanisha saa kumi na moja alfajiri. Wewe umemaanisha muda upi mkuu? Au ulitaka kumaanisha saa tano asubuhi?
Huyu huyu alituaminisha kuwa wauza shisha walitaka kumuhonga hajawachukulia hatuaUkitaka kuamini kila alichokifanya JK anzia kwenye issue ya reli SG na jiulize kwanini Magufuli amezikataa tirioni 17 ambazo wachina walikuwa tayari kutoa kama mkopo nafuu. Kiongozi usizungumzie issue ya madawa kwa utawala wa JK kama kweli una historia kidogo na ilo. Hivi raisi kufikia hatua ya kutolea mfano mkewe kuwa kama wanahisi anauza wamkamate haukuelewa maaana yake.
Vita ya madawa ni vya jeshi la Polisi na nguvu ya mkuu wa mkoa ni kubwa kwenye mkoa wake ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama kwenye mkoa wake.
Makonda anafanya kazi nzr sana lakini mnamvunja moyo sana. Ebu chukulia ungekuwa ni wewe utajisikiaje.
Huyo Kitwanga hachana nae maana kashifa zake zilikuwa wazi pengine madawa alikuwa anatafuta sababu tu.
Wananipotezaje? Hebu acha maneno ya kichochezi.Sasa hivi tumeanza kuona mwanga sasa. Bavicha walikuwa wanakupoteza mzee
Huyu huyu alituaminisha kuwa wauza shisha walitaka kumuhonga hajawachukulia hatua
Umejidhihirisha kuwa uwezo wako wa kuelewa mambo ni mdogo mno! Endelea kuchezeshwa Lizombe! Na katika hili wewe ndiye bendera!Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
.Mpaka sasa hivi tumegawanyika vibaya
Ccm (watakatifu) vs wapinzani (wasiotakiwa)
waliotumbuliwa Vs watumbuwaji
wazushi wakisiasa vs waathilika
kwa hali hii visasi havitakwepeka ni suala la muda.....na tukianza kulipizana visani laana itatuweka pabaya......
majuto nimjukuuu
.Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.