Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Hahaha, hii ni vita ya mafahari wawili.
 



Ukitaka kuamini kila alichokifanya JK anzia kwenye issue ya reli SG na jiulize kwanini Magufuli amezikataa tirioni 17 ambazo wachina walikuwa tayari kutoa kama mkopo nafuu. Kiongozi usizungumzie issue ya madawa kwa utawala wa JK kama kweli una historia kidogo na ilo. Hivi raisi kufikia hatua ya kutolea mfano mkewe kuwa kama wanahisi anauza wamkamate haukuelewa maaana yake.

Vita ya madawa ni vya jeshi la Polisi na nguvu ya mkuu wa mkoa ni kubwa kwenye mkoa wake ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama kwenye mkoa wake.

Makonda anafanya kazi nzr sana lakini mnamvunja moyo sana. Ebu chukulia ungekuwa ni wewe utajisikiaje.

Huyo Kitwanga hachana nae maana kashifa zake zilikuwa wazi pengine madawa alikuwa anatafuta sababu tu.
 


Mkuu kumpeleka mtumiaji wa Madawa ya kulevya mahabusu unaenda kujaza mahabusu tu...hao watu wanahitaji msaada yaani wasaidiwe ili waache kutumia hayo Madawa.

Kuna wengine nilisikia ni wasambazaji katika hilo kundi sasa Sijui labda hawakukutikana na kitu hapo sijajua bado.

Ila kwa kweli mm naona hii kitu ni kiki tu za kisiasa zinatafutwa...hamna kitu hapa.

Tumekuwa tunasikia miaka na miaka kuwa wauza Unga nchi hii wanajulikana...sasa Sijui kigugumizi cha kuwashughulikia kinatoka Wapi tu???mpaka tunaanza kushughulika na watu Sijui wenye msokoto mmoja..
 


Heshima yako bwana barafu
 
Huyu huyu alituaminisha kuwa wauza shisha walitaka kumuhonga hajawachukulia hatua
 
Huyu huyu alituaminisha kuwa wauza shisha walitaka kumuhonga hajawachukulia hatua


Kwa kweli kwenye issue ya shisha nampongeza sana, kila maali palikuwa pamearibika shisha ilivutwa wazi kuliko hata sigara mkuu kwenye ili Makonda anasitaili pongezi. Pengine alitereza kusema walitaka kumuongo na akutwambia wamechukua hatua gani lakini mkuu napongeza sana bado issue ya massage kufanywa vyumba vya umalaya nalisubiri ili.
 
Mengi yamesemwa ni muda muafaka wa kusikiliza upande wa pili ya sarafu ili vita iendelee vyema
 
Umejidhihirisha kuwa uwezo wako wa kuelewa mambo ni mdogo mno! Endelea kuchezeshwa Lizombe! Na katika hili wewe ndiye bendera!
 
.
b:2/#freemaxencemeloPanda hofu, vuna hasira. Kandamiza uhuru, pata ukimya. Hasira na ukimya zikichanganyika, zinanyesha laana za mababu.6:00 AM - 16 Dec 2016468468 Retweets576576 likes.

.
Maneno ya prof. Shivji haya.
Kikombe cha machukizo ya watawala kwa sasa ni kama kinaharakishwa kujaa.

.
Kwa maana unataka kutuambia makonda kukamata wale vidagaa ni kupoteza lengo la hawa unaosema kila mtu anawafahamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…