Ila msomali hata ajifunike na nini unamjua tu......respect jwtzJwtz ilifanya kufuru ya kutisha, majangili wa kisomali walifukiwa wakiwa hai kichwa kinabaki juu.
Lakini haikuwa vita rahisi majangili hao wa kisomali walikuwa na mbinu za kivita hatani.
Iliwachukua muda jwtz kuusoma mchezo.
Mbinu chafu mojawapo waliyokuwa wakitumia...ilikuwa wanaingia kwenye boma la wamasai...wanabaka na kuua wanaume na kuondoka na punda na kujifunika mashuka ya kimasai na kubeba silaha zao na punda.
Nafikiri hao wasomali waliopona kwenye ilo sekeseke hawana hamu na tz tenakwenye hii operation kuna jamaa yangu alikuwepo saizi kapangiwa mlima kilimanjaro analinda kule anasema mtiti wake ulikua si wakitoto nao walikua na silaha kali hao wasomali
Ni kweli...wasomali walikuwa na silaha nzito mno na walikuwa wanatumia mbinu za kijeshi kujihami au hata kukimbia eneo la mapigano...walisumbua kidogokwenye hii operation kuna jamaa yangu alikuwepo saizi kapangiwa mlima kilimanjaro analinda kule anasema mtiti wake ulikua si wakitoto nao walikua na silaha kali hao wasomali
Mkuu, wewe ni JANGILI au Askari wanyama pori?Mkuu hapa napata shaka na hii hadithi yako....milima Udzungwa askari wanafanya doria ya miguu tu na jangili hawezi kuingia na pikipiki kule mlimani kutokana na landscape ya milima ile....hasa kijiji cha Mng'ula ulipotaja, maeneo haya mto ambao mtu anaweza zama na kufa maji unapita barabarani kabisa kwa maana hiyo kama kweli walifanyiwa hivi niwazi watu wangeona...kwa hivyo si kweli kabisa hii hadithi
Shida ipo kujua huyu huku porini kaja kwa Nia ipi je kama jangiri au kama raia wa Kawaida kutaffuta kuni nk MI natoka kwenye maeneo yenye hifadhi hifadhi tume shuhudia mengi watu wakifa sio askaliKuna kitu wengi wanakosea hapa. Hakuna anayesema ujangili ni mzuri au kuwatetea. Tatizo ni pale hao askari wanyamapori wanapofanya unyama wa hali ya juu kwa watu ambao hata hawakustahili. Wengine unakuta ni hawa watu local na duni kabisa ambao wanatumia mapori kujikimu kutokana na ukali wa maisha na hawana silaha za hatari. Halafu wenhi wanakiuka sheria kwa kujichulia sheria mikononi.
Nani sasa alikohoa na nani alifumuliwa gobore la kifuaniKuna mkasa ule wa Mkuu wa Polisi Loliondo marehemu Kong'oa. Alienda mbugani nadhani ilikuwa Ngorongoro wakafanikiwa kukamata Majangili kumbe kuna wengine wamejificha kuna mmoja alikohoa jangili akainama mzee alifumuliwa gobore la kifuani. Ikabidi JWTZ waingie msituni. Jangili yeye anachojua ni kuwa kaingia vitani maisha yake kayakabidhi Wanyama na askari pori.
Dogo tatizo lako ni kulala sebuleni tu, ushazoea kushika shika remote usidhani bunduki ni kama kubeba mswakiYani natamanigi Sana mazali kama haya yakukutana na majangili porini huko tena usiku. Huo mkono nitakaoutembeza maamaeee nitaacha historia na alama ya kudumu. Asante mleta mada Lazima sasa hivi nizame chaka niitendee haki black belt yangu.
Hana kipaji Cha uandishiTUME ENJOY SANA ILA TATIZO MUANDIKO KAMA WA BATA MKUU
Hivi shule ulikuwa unaelewa kweli?Nani sasa alikohoa na nani alifumuliwa gobore la kifuani
Kinakuchekesha nini wewe? acha ugasho.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wao wanakua na stress? Nimecheka sana lol
Huyo hajatulia anasoma ramani tu. Jangili kutulia kwake sijui maana akili zao wanazijua wenyeweShida ipo kujua huyu huku porini kaja kwa Nia ipi je kama jangiri au kama raia wa Kawaida kutaffuta kuni nk MI natoka kwenye maeneo yenye hifadhi hifadhi tume shuhudia mengi watu wakifa sio askali
Babu yangu ni mpiga nyama mashuru Sana huko vita Yao kubwa mno huko porini nashukurr tangu mwaka Jana mzee katuria now
Dogo anacheka cheka tu na vi emoji kibao anajaza uzi tu.Kinakuchekesha nini wewe? acha ugasho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu acha basi mambo ya kitoto kwa ku-reply na emoji kwa kila mtu. Unajaza nafasi kwa mambo yasiyo na lazima.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] duuh maskini weeyeah mwenzie alikamatwa akatoa ya kubrashia wakamwachia ndio akaja ku report home
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo tatizo lako ni kulala sebuleni tu, ushazoea kushika shika remote usidhani bunduki ni kama kubeba mswaki
Hivi nyati ni wale pembe zao kwa mbele zimegawanyika?Wale ni Zero brain, kwa jina lingine ni Nyumbu wana tabia ya kusahau baada ya muda mfupi unaweza mfukuza ukisimama na yeye anasimama anaendelea kula nyasi keshasahau kuwa alikuwa anafukuzwa…
Hakuna mnyama mwenye akili nyingi kama pundamilia, kuhusu nyati hawa ni balaa hasa ukiwakuta ni bachelors mara nyingi wanakuwa wanajificha kwenye vichaka karibu na chanzo cha maji ukipita hovyo bila kumgundua akipita na wewe basi ndio kwaheri…
Nimetumia sana Etorphine (M99) kuwaangusha hao wanyama pori..