Vita kati ya majangili na askari wa hifadhi za wanyama pori

Ila msomali hata ajifunike na nini unamjua tu......respect jwtz
 
kwenye hii operation kuna jamaa yangu alikuwepo saizi kapangiwa mlima kilimanjaro analinda kule anasema mtiti wake ulikua si wakitoto nao walikua na silaha kali hao wasomali
Nafikiri hao wasomali waliopona kwenye ilo sekeseke hawana hamu na tz tena
 
kwenye hii operation kuna jamaa yangu alikuwepo saizi kapangiwa mlima kilimanjaro analinda kule anasema mtiti wake ulikua si wakitoto nao walikua na silaha kali hao wasomali
Ni kweli...wasomali walikuwa na silaha nzito mno na walikuwa wanatumia mbinu za kijeshi kujihami au hata kukimbia eneo la mapigano...walisumbua kidogo
 
Mkuu, wewe ni JANGILI au Askari wanyama pori?
 
Shida ipo kujua huyu huku porini kaja kwa Nia ipi je kama jangiri au kama raia wa Kawaida kutaffuta kuni nk MI natoka kwenye maeneo yenye hifadhi hifadhi tume shuhudia mengi watu wakifa sio askali

Babu yangu ni mpiga nyama mashuru Sana huko vita Yao kubwa mno huko porini nashukurr tangu mwaka Jana mzee katuria now
 
Hyo ya loliondo nakumbuka kipindi mzee masapile(Babu wa loliondo) anatoa Dawa ya kikombe miladi ayo alitoa taarifa yakuwa Kuna watu wanamiliki kataifa kao kule loliondo kitu Kama waarabu au wasomali na naskia JW walienda na wakashindwa na mpaka leo naskia Kuna kanchi ndani ya loliondo eti ukienda kifala inakula kwako
 
Nani sasa alikohoa na nani alifumuliwa gobore la kifuani
 
Yani natamanigi Sana mazali kama haya yakukutana na majangili porini huko tena usiku. Huo mkono nitakaoutembeza maamaeee nitaacha historia na alama ya kudumu. Asante mleta mada Lazima sasa hivi nizame chaka niitendee haki black belt yangu.
Dogo tatizo lako ni kulala sebuleni tu, ushazoea kushika shika remote usidhani bunduki ni kama kubeba mswaki
 
Huyo hajatulia anasoma ramani tu. Jangili kutulia kwake sijui maana akili zao wanazijua wenyewe
 
Yule Mbunge wa CCM Shinyanga nadhani anajua fika battle la msituni. Kuna siku nilijisikia vibaya sana baada ya kukuta Nyani kasokotwa Gobore yule ni binadamu alitia huruma sana.
 
Vita vyao ni kubwa sana, mmoja kati ya gemu na jangili akiingia kwenye utawala wa mwenzie haponi.

Jangili akimshika gemu anambanika kama samaki au wanawakata vichwa, na gemu akimshika jangili anamchuna ngozi za unyao ,vinganja au wanawafungia vitu vizito then wanawatupa mtoni.

Jangili akishikwa basi labda mazingira ya uraiani au anakamatwa kama suspect Lkn hwa jamaa wanauana Sana huko mbugani.

Kuna siku kule kilombero maeneo ya kiberege jangili walimua mwezao kwasababu aliwa- snitch kwa police jamaa alikuwa anakula na familia yake akapigiwa simu, ainuke apokee simu Ile kusema halo tu akapigiwa chuma Cha kuchwa (simu ilikuwa mtego)
 
Hebu acha basi mambo ya kitoto kwa ku-reply na emoji kwa kila mtu. Unajaza nafasi kwa mambo yasiyo na lazima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi nyati ni wale pembe zao kwa mbele zimegawanyika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…