Vita kuu ya tatu imekaribia, maandalizi yamekamilika, dunia kupata mtawala baada ya machafuko

Marekani na Ulaya wapo chini ya Israel, wanatumika kwa manufaa ya Israel.

Lengo la Israel au Jews ni kuporomosha na kudhohofisha utawala wa West hapa duniani, wao ndyo watakaa namba moja na nguvu yote itahamia upande wao.


Mfano: wao ndyo wamiliki wa teknolojia zote kubwa, mainstream media, financial supply (Banks), ect.
 
Sio support, ni kuhamisha mfuko wa kushoto kwenda wa kulia. Master ni mmoja. (Rothschilds)
Sidhani!

Waisrael ni jamii ya watu weusi walio wengi kuliko weupe!

Hao unaowaita waisrael ni jamii ya wazungu, Germany, turkey na wazungu wengine!

Waisral wapo Ethiopia na huku Africa ni sisi watu weusi na sio hao!!
 
Sidhani!

Waisrael ni jamii ya watu weusi walio wengi kuliko weupe!

Hao unaowaita waisrael ni jamii ya wazungu, Germany, turkey na wazungu wengine!

Waisral wapo Ethiopia na huku Africa ni sisi watu weusi na sio hao!!
Muda utasema.....
 
Sawa sawa.
Hata hivyo vita haiamuliwi na ndoto kwa kuwa una silaha nzito.
Hitler alikuwa na uhakika wa πŸ’― kushinda vita na alibakisha kilomita chache kuiteka Moscow lakini alishindwa na mwisho taifa lake likaishia kugawanyika.

Hata Marekani yenye maguvu inaweza kufutwa na kugawanyika kwenye vinchi vingi kutoka kwenye Muungano wao.
Vita ni kama Kimbunga, ina tabia ya kubadirisha Jiografia ya baadhi maeneo.
 
anaweza kuingia mtawala katili wote tukashika vichwa, hata msaada tukakosa ikawa ndio mwisho wetu third world countries
 
Ni upuuuzi kuita vita vya mabeberu vita vya dunia, dunia haikuwahi kushika bunduki!
 
Ni upuuuzi kuita vita vya mabeberu vita vya dunia, dunia haikuwahi kushika bunduki!
Mabeberu wakitoweka ghafla nini kitatokea kwa chumi zetu ambazo asilimia kubwa zinategemea wao?

Vita ni mtaji wa matajiri, matajiri ambao wanakopesha nchi zetu kwa pesa zao binafsi.... Rothschild's
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…