Yule jamaa ana courage kubwa sana ,
Yule kwanza ni muungwana sana ,
Anapokua kashindwa wala haleti ubishi, anakubali na maisha mengine yanaendelea hataki matatizo na watu,
Buchuti anakupambania hadi mwisho hata kama anajua utashindwa,
Jamaa abaki tu Bongo ili tudumishe muungano wa east africa, sisi ni wamoja,
By then warundi, Kwa Tanzania ni kwao maana sisi ndio walezi wa lile taifa, na serikali zote za Burundi huungwa mkono kutokea Tanzania,
Semaji abakie tu aendelee kupiga kazi
Yule kwanza ni muungwana sana ,
Anapokua kashindwa wala haleti ubishi, anakubali na maisha mengine yanaendelea hataki matatizo na watu,
Buchuti anakupambania hadi mwisho hata kama anajua utashindwa,
Jamaa abaki tu Bongo ili tudumishe muungano wa east africa, sisi ni wamoja,
By then warundi, Kwa Tanzania ni kwao maana sisi ndio walezi wa lile taifa, na serikali zote za Burundi huungwa mkono kutokea Tanzania,
Semaji abakie tu aendelee kupiga kazi