Vita sasa inaanza rasmi: Kiongozi Mkuu wa Iran ameamuru jeshi kuiadhibu Israel

Bora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri
kwa bahati mbaya sasa, heshima haitakuja kwasababu iran hana uwezo kuipiga israel, hata wao wenyewe wanajua hilo. na Israel anafanya hivyo makusudi ili kupata sababu ya kuingia vitani, na ninaamini anatumwa na mabeberu pia walioathirika pakubwa na wahuthi wanaosapitiwa na iran. cha kuomba Mungu vita isianze tu, ili uchumi usishuke.
 

Ayatollah Khamenei hata kulala nyumbani kwake halali, anaishi kwenye mahandaki kwa uwoga sbb ya Israel, hivi unaijua Israel vizuri au unaongea tu, mradi wa nyuklia wa Iran uliangamizwa na wataalamu wake kuuawa wote na Mosad, na hakuna tena nia ya kurutubisha uranium nchini Iran, kwani Israel iliangamiza kabisa mradi huo.. na hao wataalam waliuawa ndani ya Tehran, yaani Capital of Iran, so usiongee tu sbb unaweza typing humu, watu wako kazini makini sana IQ kubwa sana inatumika..!!

Sasa eti ndio aje asaidie Gaza wakati mwenyewe Iran ameshindwa kujisaidia, na soon Iran itaenda kuwa kama Iraq ikigusa tu Israel, huo itakuwa mwisho wa Iran, na tambua hizi kelele zote za Middle East mfadhili mkuu ni Iran, sasa subiri uone moto wake

Assassination of Iranian nuclear scientists - Wikipedia Assassination of Iranian nuclear scientists - Wikipedia
 
Moto unaonenda kuwaka middle East utakua mbaya kupindukia Kisasi cha Iran kitakua ni kizito mno
 
sasa wazee hao maskini dah, kwamba na wao wana pumzi ya kumdhibiti muisraeli kweli?
 
Iran ndiyo mhimili wa ugaidi na uovu mashariki ya kati maana ndiye muasisi, mlezi na mfadhili. Iran akiingia vitani itakuwa ni neema, maana Israel atapata fursa ya kukata mzizi wa fitna mazima
 
mashoga wapewe kichapo heavy...
 
Hizo nchi zote ziko tayari kwa vita au xiko tayari kupinduliwa?
Vita hiyo inaenda pindua uongozi nchi zote hizo.
Kama ni mapinduzi itakuwa ni kama yale ya nchi za Afrika Magharibi.Wanashika vijana ambao hawana urafiki na nchi za magharibi na wanaijua Qur'an sawa sawa na kuitekeleza kwa kuoa wake zaidi ya 1
Jee hawa ndio unaokusudia na ndio unaowapenda?
 
Unachekesha sanaaa...Hezbollah wataingia Israel kwa kupitia wapi?🤣🤣🤣

Acha hizo Sheikh, Hebu wanusuru Waislam wenzetu
 
Madaraka matamu Ayatollah analijua hilo vizuri.
 
Saudia akiijitambua atapigwa vita vikuu. Hivi hajitambui tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…