Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Sheikh Anangoja Iftar Ya MagimbiUnachekesha sanaaa...Hezbollah wataingia Israel kwa kupitia wapi?🤣🤣🤣
Acha hizo Sheikh, Wanusuru Waislam wenzetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheikh Anangoja Iftar Ya MagimbiUnachekesha sanaaa...Hezbollah wataingia Israel kwa kupitia wapi?🤣🤣🤣
Acha hizo Sheikh, Wanusuru Waislam wenzetu
Nani ataanza kulia?!Nimelike post yako kabisa intentionally
Soon mtaanza kulia
Natamani siku moja kombora la Iran lituwe juu ya kichwa chako!
Hahaha! Mbongowahed!nikipata ugali nakula na kulala tu
Msivyompenda mngeshamkanda lkn kila mkuliamsha anawabonda na hamna cha kumfanyahumu kuna walevi wana amini israel ni taifa teule hawezi bondwa
atakandwa na hamta amini
Inatosha babanikipata ugali nakula na kulala tu
😂😂😂😂😂😂😂Moto unaonenda kuwaka middle East utakua mbaya kupindukia Kisasi cha Iran kitakua ni kizito mno
Mpaka dunia inaisha magaidi hawatakuja kuheshimika.Bora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri
Vita na Iran sio nyepesi hata US atajitahidi kuepuka hio vita.Na Israel lengo lake ni hilo asipigane kupitia Hamas au Hizbulla aje front ili atibu tatizo kwa kudumu, ni mkakati makini ambao hata Marekani ni mshirika kwa kutaka kumwahi mfadhili wa magaidi
Dada zako wanasilimu kwa wingi. Wewe umengangania ukafiri wakoMpaka dunia inaisha magaidi hawatakuja kuheshimika.
Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kuikimbia neema ya Mungu aje kuwa mpinga kristo.Dada zako wanasilimu kwa wingi. Wewe umengangania ukafiri wako
Ukifumba jicho ndio utajutq kwanini hukuingia ktk uislamHakuna mwenye akili timamu anayeweza kuikimbia neema ya Mungu aje kuwa mpinga kristo.
Nje ya kristo kwingine ni jehanamu bila kupingwa,maana hata dini nje ya ukristo zimejengwa juu ya msingi wa chuki,uongo na maauaji.Bila Yesu umepotea kabisa na nakuonea huruma kwa kuwa u roho iendayo jehanamu usipotubu na kumpokea Yesu.Ukifumba jicho ndio utajutq kwanini hukuingia ktk uislam
We heard this fairy tale story tokea tupo wadogohumu kuna walevi wana amini israel ni taifa teule hawezi bondwa
atakandwa na hamta amini