Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!...Bora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri
Kama huna akili huwezi heshimika popote pale!!!.Bora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri
Nani asiena akili?Kama huna akili huwezi heshimika popote pale!!!.
Its obviously team makobazi!Nani asiena akili?
Unataka kufa ukiwa tandale kwa tumbo? umeshindwa kuupigania ukiwa tz utaweza kwenda huko kwenye machafuko? Take a hike manBora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri
Hii ni mpya sasa kutoka kwako muisrelei wa kiluvyaKwa taarifa yako Israel hapigani na Hamas anapigana na Iran.Wapiganaji wa Hamas wengi sio wapalestina ni wairani na wa kutoka nchi mbalimbali za kiarabu za makundi.yabayoungwa mkono na Iran.Wapalestina wenyewe.Ndio masna hayo mataifa yanaipa silaha Israel yakijua Israel yuko.vitani na Iran kupitia Hamas
Yeye ametulia zake na mademu ndani anataka vijana wa wengine ndio wakafie huko Samaria."Utawala mbovu wa Israel utaadhibiwa kwa mikono ya watu wetu mashujaa," alihitimisha.
Kiongozi Muadhamu wa Iran Ayatollah Seyed Ali Khamenei: “Utawala mbovu utaadhibiwa na mikono ya watu wetu mashujaa. Kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu, tutawafanya wajutie uhalifu huu na mengine yanayofanana na hayo.”
Haijulikani ni kisasi gani kitakuwa, hata hivyo kuna uwezekano kwamba Hezbollah itaingia Israel hivi karibuni.
Mapinduzi makubwa yameanza katika nchi za mashariki ya kati, Iran, Iraq, Yemen na Lebanon ziko tayari kwa vita.
Ushari wako waache wapalestina wauwawe hadi mwishoni jambo la kuomba waishie hapohapo wasipigane vita, kwasababu wakifanya hivyo, uchumi wa dunia utaathirika sana, tutapata shida. Iran ni supplier wa mafuta na gas, hayo yakisimama, tutapata shida sana kiuchumi. on the other hand, Israel kwa upande wake ndicho alichokuwa anatafuta, anaamini akipigana na hezbollah au hamas au hurthi bila kuisambaratisha Iran, tatizo hilo litaendelea kujirudiarudia mara kwa mara maisha yake yote, hivyo ni muhimu mno kwake Iran iingie vitani naye ili isambaratishwe. Iran akiingia mtego huo, atajutia sana, yeye mwenyewe anaelewa hilo. siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. lakini kama ikipiganwa, I am confident with the God of Israel, hajawahi kuiacha Israel katika historia yote, lazima tu Israel ataibuka mshindi.
Hiyo ni kiongozi kama alivyo nata.nyau kwani hiyo nata.nyau anaemia vitamin yupo amekaa na mademu tuYeye ametulia zake na mademu ndani anataka vijana wa wengine ndio wakafie huko Samaria.
kwanza ncheke"Utawala mbovu wa Israel utaadhibiwa kwa mikono ya watu wetu mashujaa," alihitimisha.
Kiongozi Muadhamu wa Iran Ayatollah Seyed Ali Khamenei: “Utawala mbovu utaadhibiwa na mikono ya watu wetu mashujaa. Kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu, tutawafanya wajutie uhalifu huu na mengine yanayofanana na hayo.”
Haijulikani ni kisasi gani kitakuwa, hata hivyo kuna uwezekano kwamba Hezbollah itaingia Israel hivi karibuni.
Mapinduzi makubwa yameanza katika nchi za mashariki ya kati, Iran, Iraq, Yemen na Lebanon ziko tayari kwa vita.
Thea real ISRAEL ni AFRICA Mkuu. Hao siyo wayahudi wa Kweli wa kwenye ile BIBLIA.ni jambo la kuomba waishie hapohapo wasipigane vita, kwasababu wakifanya hivyo, uchumi wa dunia utaathirika sana, tutapata shida. Iran ni supplier wa mafuta na gas, hayo yakisimama, tutapata shida sana kiuchumi. on the other hand, Israel kwa upande wake ndicho alichokuwa anatafuta, anaamini akipigana na hezbollah au hamas au hurthi bila kuisambaratisha Iran, tatizo hilo litaendelea kujirudiarudia mara kwa mara maisha yake yote, hivyo ni muhimu mno kwake Iran iingie vitani naye ili isambaratishwe. Iran akiingia mtego huo, atajutia sana, yeye mwenyewe anaelewa hilo. siombi vita ipiganwe kwasababu watu wengi wanakufa bila kuokoka, na wanaenda motoni, wote waisrael na wairan. lakini kama ikipiganwa, I am confident with the God of Israel, hajawahi kuiacha Israel katika historia yote, lazima tu Israel ataibuka mshindi.
Nyie ndio mnaochapa watu viboko Zanzibar, ila Iran kwa mikwara hajamboBora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri
Utakufa njaa bure broo, maana Ayatollah akigusa Israel tu kwisha habari yakeBora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri
Ushaidi tafadhariKwa taarifa yako Israel hapigani na Hamas anapigana na Iran.Wapiganaji wa Hamas wengi sio wapalestina ni wairani na wa kutoka nchi mbalimbali za kiarabu za makundi.yabayoungwa mkono na Iran.Wapalestina wenyewe.Ndio masna hayo mataifa yanaipa silaha Israel yakijua Israel yuko.vitani na Iran kupitia Hamas
Israel au NATO?Utakufa njaa bure broo, maana Ayatollah akigusa Israel tu kwisha habari yake
Mental case.Bora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri